sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) naomba upokee ushauri huu.
Mimi Sifi Leo nimetembea nchi hii sijawai kutana na mtu anaitwa AGUSTINO LYATONGA MREMA kisa mtoto huyo alizaliwa enzi za MREMA.
Sijawahi kutana na mtu anaitwa LIPUMBA kisa LIPUMBA MWANASIASA, sijakutana na James Mbatia yoyote, sijawai kutana na JAKAYA MRISHO KIKWETE ila nimewahi kutana na Nyerere.
Je, Freeman wajua kuna watu tumewapa jina la Freeman kisa wewe?
Ushauri ukifikisha miaka 63 Mungu akikupa heri fanya mkutano mkuu wa watu wote wanoitwa Freman popote pale sisi tulio amua kuwaita ukae nao ule nao, ujipikilishe nao.
Utazidi kubarikiwa.
Mimi Sifi Leo nimetembea nchi hii sijawai kutana na mtu anaitwa AGUSTINO LYATONGA MREMA kisa mtoto huyo alizaliwa enzi za MREMA.
Sijawahi kutana na mtu anaitwa LIPUMBA kisa LIPUMBA MWANASIASA, sijakutana na James Mbatia yoyote, sijawai kutana na JAKAYA MRISHO KIKWETE ila nimewahi kutana na Nyerere.
Je, Freeman wajua kuna watu tumewapa jina la Freeman kisa wewe?
Ushauri ukifikisha miaka 63 Mungu akikupa heri fanya mkutano mkuu wa watu wote wanoitwa Freman popote pale sisi tulio amua kuwaita ukae nao ule nao, ujipikilishe nao.
Utazidi kubarikiwa.