Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.
Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"
Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.