Ziara ya general Manoj Pande kutoka India nchini Tanzania
https://m.youtube.com/watch?v=aIzo8AkcGxE
Mkuu wa jeshi la ardhini la India, General Manoj Pande awasili kwa ziara ya kikazi Tanzania...
Tundu Lissu amewarai wananchi kuichagua CHADEMA katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025 ili tuweze kupata katiba mpya itakayolinda rasilimali zetu na kumuwajibisha Rais...
Hivi kipaumbele chetu kama taifa ni nini
Elimu .....tunajenga mdarasa mengi bila madawati, vifaa vya kufundishia na uhaba kibao wa walimu
Afya.......zahanati na vituo vingi vya afya vijiji na...
Wote waliochukizwa na namna iliyotumiwa na NSSF kwenye ajira kwa kuonesha upendeleo wa wazi tunatamani sana kituo kinachofuata katika utumbuaji kiwe NSSF ili kuwe na nidhamu katika ajira za...
Hii sidhani kama inawezekana chini ya Mama.
---
Gov't suspends all non-essential travel, sets limits for delegations on foreign trips
The government has suspended all non-essential travel for...
Kwanza Movement ya kutetea Bandari haikuwa ya Chadema bali Mwabukusi, Mdude na yule Madeleka
Chadema waliingizwa tu na Kundi moja la CCM kutokea kule Bukoba, kwa sasa CCM wameshawekana Sawa...
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema hana nongwa na Dr Slaa, Wakili Mwabukusi wala Mdude Lakini Chadema ni Chama kikubwa kinachotarajia kushika Dola hakiwezi kuburuzwa buruzwa
Mbowe amesema...
Yanayoendelea miongoni mwa vyama vya siasa na vyama vya kiraia hususani chadema na sauti ya watanzania ni kudhoofisha afya na ustawi wa demokrasia nchini. Ni kudhoofisha jitiahada zilizoanza vyema...
Kuna tetesi kuwa Waziri Mchengerwa, anayesifika kuwa na kifua kikubwa kukabiliana na maswala ya utawala, kaingia figisu za tamaa.
Gazeti la Mwanahalisi (September 28-October 4, 2023) limedokeza...
Wanaoangaika na maskini wa nchi ni watoto wa maskini walioajiriwa serikalini. Viongozi wa TANAPA wameliwa vichwa kwa sababu tu wamegusa maslahi ya royal family.
Viongozi wa TANAPA wameona namna...
Katika nafasi ambazo zimepoteza mvuto Serikalini ni Nafasi ya Ukuu wa Wilaya na Ukurugenzi wa Halmashauri, ni Nafasi ambazo Sasa zimeonekana kana kwamba si za kudumu na muda wowote unatolewa, mtu...
Hii ni baada ya kuteuliwa na Waziri Damas Ndumbaro kuwa Mjumbe wa Basata.
---
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo , Dkt. Damas Daniel Ndumbaro amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Sanaa la...
MAMLAKA ya Mapato Tanzania imekusanya kiasi cha Sh trilioni 24.11 katika kipindi cha Julai 2022 na Juni 2023 ikiwa ni sawa na asilimia 97.4 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 24.76.
Hata hivyo...
Naunga mkono hoja, vinakuaje Nchi ndogo kama Rwanda au Kenya zikaruhusu watu binafsi kumiliki Ardhi wakati Tanzania yenye maelfu ya ekari inawanyima watu kumiliki Ardhi.
Hii Nchi ujamaa...
Rais wa JMT mh Dr Samia amemtumia Salamu za Pongezi Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa kwa kusimikwa Rasmi na Baba Mtakatifu Francisco kuwa Kardinali
Kauli mbiu ya Utume wako ni " Enendeni...
Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na...
Awamu ya 6 inazidi kuweka rekodi Kimataifa.
Baada ya Beberu USA kuamua kuiweka Tanzania kwenye List ya Nchi zitakozufaika na mabilioni ya Dola na uwekezaji,China nayo kama Kiongozi wa Asia...
Natoa mwongozo kwa wale wasiojua na labda wangependa kujifunza kupitia andiko hili , ni hivi , Ili kuwa kiongozi ndani ya Chadema unapaswa kuonyesha uwezo wako haswa , Viongozi wa Chadema...
Ni kweli imefikia pahala kuona TEUZI ni fursa binafsi kwa mteuliwa badala ya lengo kuu kwa UTUMISHI WA UMMA.
Leo wako wanaomzodoa ndugu DC Simon Mwakilema kuwa "amebanduliwa" kutoka katika...