Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,783
- 218,409
Natoa mwongozo kwa wale wasiojua na labda wangependa kujifunza kupitia andiko hili , ni hivi , Ili kuwa kiongozi ndani ya Chadema unapaswa kuonyesha uwezo wako haswa , Viongozi wa Chadema hawabebwi kwa mbeleko za chuma , ili kuwa kiongozi ndani ya Chadema lazima ukubali gharama ya mateso ya vyombo vya dola na mamluki wake.
Huwezi kuwa kiongozi wa Chadema kwa vile tu Wazazi wako walikuwa viongozi , Ukakamavu ni sehemu ya sifa za mtu kuwa kiongozi wa Chadema , Katika safu ya viongozi wa Chadema hakuna yeyote ambaye hajawahi kukamatwa na kufungwa jela , huku wengine wakitekwa na kuuawa , hii ni kuanzia ngazi ya chini kabisa, Yaani mtu anaomba uongozi wa Chadema huku akijua kabisa kwamba atakamatwa na kufungwa siku yoyote, hiyo si mchezo wa kuigiza kama wale wanaoteua tu hata wale ambao hawakuwahi kuitetea ccm popote pale
Watu wa namna hii kuwafananisha na viongozi wa kubebwa wa ccm ambao nusu yao wamepata uongozi kwa sababu ya koneksheni ya wazazi wao , NI SAWA NA KUTUKANA MATUSI YA NGUONI , CCM haina kiongozi yeyote kwa sasa wa kulinganisha na safu ya Chadema.
Huwezi kuwa kiongozi wa Chadema kwa vile tu Wazazi wako walikuwa viongozi , Ukakamavu ni sehemu ya sifa za mtu kuwa kiongozi wa Chadema , Katika safu ya viongozi wa Chadema hakuna yeyote ambaye hajawahi kukamatwa na kufungwa jela , huku wengine wakitekwa na kuuawa , hii ni kuanzia ngazi ya chini kabisa, Yaani mtu anaomba uongozi wa Chadema huku akijua kabisa kwamba atakamatwa na kufungwa siku yoyote, hiyo si mchezo wa kuigiza kama wale wanaoteua tu hata wale ambao hawakuwahi kuitetea ccm popote pale
Watu wa namna hii kuwafananisha na viongozi wa kubebwa wa ccm ambao nusu yao wamepata uongozi kwa sababu ya koneksheni ya wazazi wao , NI SAWA NA KUTUKANA MATUSI YA NGUONI , CCM haina kiongozi yeyote kwa sasa wa kulinganisha na safu ya Chadema.