CHADEMA ndio waliibomoa UKAWA kwa kuwafitini Prof. Lipumba na Dkt. Slaa kisha kumualika Lowassa, sasa wataihujumu Sauti ya Watanzania

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,977
141,988
Kwanza Movement ya kutetea Bandari haikuwa ya Chadema bali Mwabukusi, Mdude na yule Madeleka

Chadema waliingizwa tu na Kundi moja la CCM kutokea kule Bukoba, kwa sasa CCM wameshawekana Sawa hawaihitaji tena Chadema

Ni bora Chadema wakaendelea na mikutano yao ya Maridhiano kanda ya Kusini na wawaache akina Dr Slaa na mambo yao ya Sauti ya Watanzania wasiwavuruge kama walivyoisambaratisha UKAWA huku mzee Emmanuel Makaidi wa Masasi akifa na Mtatiro akiporwa jimbo la Segerea
 
Kwanza Movement ya kutetea Bandari haikuwa ya Chadema bali Mwabukusi, Mdude na yule Madeleka

Chadema waliingizwa tu na Kundi moja la CCM kutokea kule Bukoba, kwa sasa CCM wameshawekana Sawa hawaihitaji tena Chadema

Ni bora Chadema wakaendelea na mikutano yao ya Maridhiano kanda ya Kusini na wawaache akina Dr Slaa na mambo yao ya Sauti ya Watanzania wasiwavuruge kama walivyoisambaratisha UKAWA huku mzee Emmanuel Makaidi wa Masasi akifa na Mtatiro akiporwa jimbo la Segerea
Kwa taarifa yako chadema wamestukia mtego uliotegwa na yale majamaa ya Kaunda suti. Wameishiwa plan kabisa
 
Kwanza Movement ya kutetea Bandari haikuwa ya Chadema bali Mwabukusi, Mdude na yule Madeleka

Chadema waliingizwa tu na Kundi moja la CCM kutokea kule Bukoba, kwa sasa CCM wameshawekana Sawa hawaihitaji tena Chadema

Ni bora Chadema wakaendelea na mikutano yao ya Maridhiano kanda ya Kusini na wawaache akina Dr Slaa na mambo yao ya Sauti ya Watanzania wasiwavuruge kama walivyoisambaratisha UKAWA huku mzee Emmanuel Makaidi wa Masasi akifa na Mtatiro akiporwa jimbo la Segerea
Hata maccm wenzako wenye akili timamu wanakudharau tu hizi porojo zako.
 
Ndivyo walivyo....

Waliifitini UKAWA....

Wakawagonganisha NLD ,wakubwa wa CUF na Dr.Slaa.....

Fursa ilionekana.....kamarada Freeman akaruka nayo....Mshenga wa Kawe "alipomfuata"na ahadi ya MABILIONI MAREFU.....kamanda akawa nyang'anyang'a , ndembendembe (in Prof Lipumba's voice).....

Hawaaminiki

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza Movement ya kutetea Bandari haikuwa ya Chadema bali Mwabukusi, Mdude na yule Madeleka

Chadema waliingizwa tu na Kundi moja la CCM kutokea kule Bukoba, kwa sasa CCM wameshawekana Sawa hawaihitaji tena Chadema

Ni bora Chadema wakaendelea na mikutano yao ya Maridhiano kanda ya Kusini na wawaache akina Dr Slaa na mambo yao ya Sauti ya Watanzania wasiwavuruge kama walivyoisambaratisha UKAWA huku mzee Emmanuel Makaidi wa Masasi akifa na Mtatiro akiporwa jimbo la Segerea
Hoja zako ni za kiplay boy. Hujawahi kuwa serious kwenye hoja wewe.
 
Kwanza Movement ya kutetea Bandari haikuwa ya Chadema bali Mwabukusi, Mdude na yule Madeleka

Chadema waliingizwa tu na Kundi moja la CCM kutokea kule Bukoba, kwa sasa CCM wameshawekana Sawa hawaihitaji tena Chadema

Ni bora Chadema wakaendelea na mikutano yao ya Maridhiano kanda ya Kusini na wawaache akina Dr Slaa na mambo yao ya Sauti ya Watanzania wasiwavuruge kama walivyoisambaratisha UKAWA huku mzee Emmanuel Makaidi wa Masasi akifa na Mtatiro akiporwa jimbo la Segerea
Hivi leo chadema ndo ya kukaa na kuwaza icho kikundi cha sauti ya watanzaninia kweli ,hatuko serious
 
Kwanza Movement ya kutetea Bandari haikuwa ya Chadema bali Mwabukusi, Mdude na yule Madeleka

Chadema waliingizwa tu na Kundi moja la CCM kutokea kule Bukoba, kwa sasa CCM wameshawekana Sawa hawaihitaji tena Chadema

Ni bora Chadema wakaendelea na mikutano yao ya Maridhiano kanda ya Kusini na wawaache akina Dr Slaa na mambo yao ya Sauti ya Watanzania wasiwavuruge kama walivyoisambaratisha UKAWA huku mzee Emmanuel Makaidi wa Masasi akifa na Mtatiro akiporwa jimbo la Segerea
PROF.LIPUMBA NA DR. SLAA SIO WAPINZANI WANANUNULIKA KIRAHISI UKIWAPA UDC TU WANASEMA
 
Kwanza Movement ya kutetea Bandari haikuwa ya Chadema bali Mwabukusi, Mdude na yule Madeleka

Chadema waliingizwa tu na Kundi moja la CCM kutokea kule Bukoba, kwa sasa CCM wameshawekana Sawa hawaihitaji tena Chadema

Ni bora Chadema wakaendelea na mikutano yao ya Maridhiano kanda ya Kusini na wawaache akina Dr Slaa na mambo yao ya Sauti ya Watanzania wasiwavuruge kama walivyoisambaratisha UKAWA huku mzee Emmanuel Makaidi wa Masasi akifa na Mtatiro akiporwa jimbo la Segerea
Waste Sperm
 
Back
Top Bottom