TRA yakusanya Tsh. Trilioni 24 sawa na Ufanisi wa 97% ya lengo la mwaka 2022/2023

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,109
49,811
MAMLAKA ya Mapato Tanzania imekusanya kiasi cha Sh trilioni 24.11 katika kipindi cha Julai 2022 na Juni 2023 ikiwa ni sawa na asilimia 97.4 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 24.76.

Hata hivyo makusanyo hayo ni ongezeko la asilimia 8.2 ikilinganishwa na makusanyo ya kipindi kama hicho mwaka wa fedha 2021/22.

photo_2023-07-03_20-27-57.jpg
photo_2023-07-03_20-27-58.jpg

====

Taarifa va TRA imeonesha mwezi Disemba umeendelea kuwa na makusanyo zaidi ukifuatiwa na Machi na Juni.

Hongera TRA, ila Kwa nini huwa hamvushi Asilimia 100%?

My Take: Bilioni 660 Kutopatikana manake ni hasara kubwa kwenye Bajeti ya Nchi na pesa hizo kama zilikuwa za Miradi inamaana haikufanyika..

TRA jitahidini Kwa sababu Mikopo sio ya kutegemea sana.
 
Hapana hawajawahi fikia lengo Kwa Asilimia 100% Kwa mwaka mzima ila Huwa Baadhi ya robo mwaka wanafikia malengo..

Hakuna mwaka TRA walifikisha makusanyo Kwa Asilimia 100%

Lete na data za kipindi cha Magufuli

Halafu huoni hata aibu nchi kubwa kama Tanzania mamlaka ya mapato kujivuta na 8% ongezeko kwa mwaka?!
 
MAMLAKA ya Mapato Tanzania imekusanya kiasi cha Sh trilioni 24.11 katika kipindi cha Julai 2022 na Juni 2023 ikiwa ni sawa na asilimia 97.4 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 24.76.

Hata hivyo makusanyo hayo ni ongezeko la asilimia 8.2 ikilinganishwa na makusanyo ya kipindi kama hicho mwaka wa fedha 2021/22.


====

Taarifa va TRA imeonesha mwezi Disemba umeendelea kuwa na makusanyo zaidi ukifuatiwa na Machi na Juni.

Hongera TRA, ila Kwa nini huwa hamvushi Asilimia 100%?

My Take: Bilioni 660 Kutopatikana manake ni hasara kubwa kwenye Bajeti ya Nchi na pesa hizo kama zilikuwa za Miradi inamaana haikufanyika..

TRA jitahidini Kwa sababu Mikopo sio ya kutegemea sana.

Kweli wewe mzalendo, unachukua hatua kushauri hii serikali.?
 
Back
Top Bottom