Mkurugenzi wa NHC aiomba Serikali iruhusu wageni kumiliki Ardhi ili kukuza uwekezaji

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,125
49,847
Naunga mkono hoja, vinakuaje Nchi ndogo kama Rwanda au Kenya zikaruhusu watu binafsi kumiliki Ardhi wakati Tanzania yenye maelfu ya ekari inawanyima watu kumiliki Ardhi.

Hii Nchi ujamaa ulishatuharibu Kila kitu hofu matokeo yake tunazaliwa maskini na kufa maskini pamoja na kuwa na Ardhi na Mali zingine kibao Kwa sababu tuu ya hofu za kipuuzi kushirikiana na waliofanikiwa na wenye mitaji.

Sheria za uwekezaji za Tanzania ni za kikoloni sana matokeo yake sasa tunashindwa kusogeza mbele kama Taifa.

Wapinzani nao Kwa kuwa tuu shida Yao ni kushika Dola hawesemi ukweli ila wanalaumu Serikali ilhali hiyo hiyo Serikali ikitaka kuleta reforms wanakwambia mnauza Nchi harafu wao hawaji na plan ya kuboresha maisha ya watu.

Ujamaa unajua watu wenye exposure, ubunifu na uthubutu wa kuleta Mageuzi Kwa kuwa tuu wapuuzi watazusha mambo kibao na kusema Nchi inauzwa na Kwa kuwa tuna wajinga wengi watashangilia.

Awamu ya 5 iliua kabisa Shirika la Nyumba la Taifa NHC. Kwa Sasa walau linaanza kufufuka tena lakini sheria zinazuia kukua zaidi maana Sheria haziruhusu watu wenye pesa kutoka Nje kununua nyumba/Kumiliki Ardhi.

My Take
Watanzania tuache mawazo ya kijinga na Kijamaa yanatuongezea umaskini badala ya kuondoa. Nchi za wenzetu zingekuwa na sheria za kijinga kama hizo akina Mbowe wasingemiliki nyumba Dubai, South Africa nk.

=====

"NHC DG Abdallah, says Tanzania is missing out by denying foreigners the right to own land and houses. He says countries such as Rwanda, Kenya, SA, have freehold ownership against Tanzania's leasehold."Celebrities could own holiday homes in Tanzania," he said."- The Citizen

Shirika la nyumba la Taifa (NHC) limesema litakuwa likitengeza Sh850 milioni kila mwezi kutoka katika mradi wale wa 'Moroco Square'. Akizungumza na Wahariri na waandishi wa habari leo Agost 3, 2023; Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, Hamad Abdullah, amesema pesa hiyo itatokana na kodi za wapangaji wa hoteli na maduka. Abdullah amesema mradi huo tayari umekamilika kwa asilimia 97 na tayari umeshapata wapangaji na wanunuzi. - Mwananchi
 
Aulize wakenya wa kawaida kama wanaweza kupata ardhi kirahisi kama watanzania wanavyo enjoy.

Sio kila kitu ni cha kuiga, mengine ni ya kipumbavu. Mfumo wetu ni mzuri kwa ajili ya kuhakikisha urithi wa ardhi unakuwa na manufaa kwa wana wa nchi hii, hata kama ni masikini.

Mwalimu Nyerere alikuwa kiongozi mwenye maono, isingekuwa maamuzi yake wengi leo mngukuwa watwana wa ma 'landlord'.
 
Mnawaandalia DP World haki ya kumiliki ardhi au vipi?, mnaanza kuchombeza ili mkabadili sheria ya ardhi kama mnavyotaka kubadili sheria ya rasilimali ili kuwasuit DP world na mkataba wao au siyo?

Kama mnataka kuuza na ardhi kwa wageni basi mtakamilisha dili la kutuuza!.

Rwanda na Kenya hawana ardhi, kwa hiyo hawana cha kupoteza. Sisi tuna everything ya kupoteza!
 
Hatuko kwenye mashindano na nchi yeyote.
Tukianza kuuza ardhi kwa wageni, akaja Bill Gates, Elon Musk na Mark Zukerberg wakanunua 90% ya ardhi, vizazi vyetu vitalazimika kuishi angani au kuishi kwenye ardhi ya kukodisha.
Automatically tutakuwa tumerudi kwenye utumwa.
 
Naunga mkono hoja,vinakuaje Nchi ndogo kama Rwanda au Kenya zikaruhusu watu binafsi kumiliki Ardhi wakati Tanzania yenye maelfu ya ekari inawanyima watu kumiliki Ardhi.

Hii Nchi ujamaa ulishatuharibu Kila kitu hofu matokeo yake tunazaliwa maskini na kufa maskini pamoja na kuwa na Ardhi na Mali zingine kibao Kwa sababu tuu ya hofu za kipuuzi kushirikiana na waliofanikiwa na wenye mitaji.

Sheria za uwekezaji za Tanzania ni za kikoloni sana matokeo yake sasa tunashindwa kusogeza mbele kama Taifa.

Wapinzani nao Kwa kuwa tuu shida Yao ni kushika Dola hawesemi ukweli ila wanalaumu Serikali ilhali hiyo hiyo Serikali ikitaka kuleta reforms wanakwambia mnauza Nchi harafu wao hawaji na plan ya kuboresha maisha ya watu.

Ujamaa unajua watu wenye exposure, ubunifu na uthubutu wa kuleta Mageuzi Kwa kuwa tuu wapuuzi watazusha mambo kibao na kusema Nchi inauzwa na Kwa kuwa tuna wajinga wengi watashangilia..

Awamu ya 5 iliua kabisa Shirika la Nyumba la Taifa NHC,. Kwa Sasa walau linaanza kufufuka tena lakini sheria zinazuia kukua zaidi maana Sheria haziruhusu watu wenye pesa kutoka Nje kununua nyumba/Kumiliki Ardhi.


Hivi kwanini huu ujinga wenu msipeleke kwenu Zanzibar.
 
Naunga mkono hoja,vinakuaje Nchi ndogo kama Rwanda au Kenya zikaruhusu watu binafsi kumiliki Ardhi wakati Tanzania yenye maelfu ya ekari inawanyima watu kumiliki Ardhi.

Hii Nchi ujamaa ulishatuharibu Kila kitu hofu matokeo yake tunazaliwa maskini na kufa maskini pamoja na kuwa na Ardhi na Mali zingine kibao Kwa sababu tuu ya hofu za kipuuzi kushirikiana na waliofanikiwa na wenye mitaji.

Sheria za uwekezaji za Tanzania ni za kikoloni sana matokeo yake sasa tunashindwa kusogeza mbele kama Taifa.

Wapinzani nao Kwa kuwa tuu shida Yao ni kushika Dola hawesemi ukweli ila wanalaumu Serikali ilhali hiyo hiyo Serikali ikitaka kuleta reforms wanakwambia mnauza Nchi harafu wao hawaji na plan ya kuboresha maisha ya watu.

Ujamaa unajua watu wenye exposure, ubunifu na uthubutu wa kuleta Mageuzi Kwa kuwa tuu wapuuzi watazusha mambo kibao na kusema Nchi inauzwa na Kwa kuwa tuna wajinga wengi watashangilia..

Awamu ya 5 iliua kabisa Shirika la Nyumba la Taifa NHC,. Kwa Sasa walau linaanza kufufuka tena lakini sheria zinazuia kukua zaidi maana Sheria haziruhusu watu wenye pesa kutoka Nje kununua nyumba/Kumiliki Ardhi.



Naunga mkono hoja. Hata Mbowe anamiliki nyumba South Africa na Dubai
 
Mnawaandalia DP World haki ya kumiliki ardhi au vipi?, mnaanza kuchombeza ili mkabadili sheria ya ardhi kama mnavyotaka kubadili sheria ya rasilimali ili kuwasuit DP world na mkataba wao au siyo?

Kama mnataka kuuza na ardhi kwa wageni basi mtakamilisha dili la kutuuza!.

Rwanda na Kenya hawana ardhi, kwa hiyo hawana cha kupoteza. Sisi tuna everything ya kupoteza!

Sio kila kitu dp world mkuu hapa mada ni masuala ya kumiliki ardhi asa kila uzi ukileta siasa za dp tutafika kweli
 
Aulize wakenya wa kawaida kama wanaweza kupata ardhi kirahisi kama watanzania wanavyo enjoy.

Sio kila kitu ni cha kuiga, mengine ni ya kipumbavu. Mfumo wetu ni mzuri kwa ajili ya kuhakikisha urithi wa ardhi unakuwa na manufaa wa wana wa ncho hii, hata kama ni masikini.

Mwalimu Nyerere alikuwa kiongozi mwenye maono, isingekuwa maamuzi yake wengi leo mngukuwa watwana wa ma 'landlord'.
Kwani sheria inashindwa kuweka limit ya kiwango ambacho mgeni ana weza kumiliki Ardhi kama uwekezaji au Mali ya kawaida?

Kumiliki Ardhi sio lazima kuwa na pande kubwa la Ardhi hata ukinunua apartment ni Ardhi unamiliki.
 
Naunga mkono hoja,vinakuaje Nchi ndogo kama Rwanda au Kenya zikaruhusu watu binafsi kumiliki Ardhi wakati Tanzania yenye maelfu ya ekari inawanyima watu kumiliki Ardhi.

Hii Nchi ujamaa ulishatuharibu Kila kitu hofu matokeo yake tunazaliwa maskini na kufa maskini pamoja na kuwa na Ardhi na Mali zingine kibao Kwa sababu tuu ya hofu za kipuuzi kushirikiana na waliofanikiwa na wenye mitaji.

Sheria za uwekezaji za Tanzania ni za kikoloni sana matokeo yake sasa tunashindwa kusogeza mbele kama Taifa.

Wapinzani nao Kwa kuwa tuu shida Yao ni kushika Dola hawesemi ukweli ila wanalaumu Serikali ilhali hiyo hiyo Serikali ikitaka kuleta reforms wanakwambia mnauza Nchi harafu wao hawaji na plan ya kuboresha maisha ya watu.

Ujamaa unajua watu wenye exposure, ubunifu na uthubutu wa kuleta Mageuzi Kwa kuwa tuu wapuuzi watazusha mambo kibao na kusema Nchi inauzwa na Kwa kuwa tuna wajinga wengi watashangilia..

Awamu ya 5 iliua kabisa Shirika la Nyumba la Taifa NHC,. Kwa Sasa walau linaanza kufufuka tena lakini sheria zinazuia kukua zaidi maana Sheria haziruhusu watu wenye pesa kutoka Nje kununua nyumba/Kumiliki Ardhi.



My Take
Watanzania tuache mawazo ya kijinga na Kijamaa yanatuongezea umaskini badala ya kuondoa.Nchi za wenzetu zingekuwa na sheria za kijinga kama hizo akina Mbowe wasingemiliki nyumba Dubai,South Africa nk.​

hizi appointment mnazofanya kwa waarabu koko hawa, zitaligharimu taifa. Ahamie kenya akamilikishwe ardhi.
 
Back
Top Bottom