HelcopterChopa
Member
- Sep 13, 2023
- 35
- 46
Yanayoendelea miongoni mwa vyama vya siasa na vyama vya kiraia hususani chadema na sauti ya watanzania ni kudhoofisha afya na ustawi wa demokrasia nchini. Ni kudhoofisha jitiahada zilizoanza vyema sana za kutetea haki, uhuru, usawa na demokrasia.
Malumbano yanarudisha nyuma na kupoteza uelekeao kwa dira hiyo muhimu nchini iliyoanza kuleta nuru na matumaini ya mabadiliko na maendeleo.
Inasikitisha na inakatisha tamaa sana.
Kaeni chini, muyamalize na kurejesha matumaini ya wengi tena.
Malumbano yanarudisha nyuma na kupoteza uelekeao kwa dira hiyo muhimu nchini iliyoanza kuleta nuru na matumaini ya mabadiliko na maendeleo.
Inasikitisha na inakatisha tamaa sana.
Kaeni chini, muyamalize na kurejesha matumaini ya wengi tena.