johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,980
- 141,996
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema hana nongwa na Dr Slaa, Wakili Mwabukusi wala Mdude Lakini Chadema ni Chama kikubwa kinachotarajia kushika Dola hakiwezi kuburuzwa buruzwa
Mbowe amesema akina Mwabukusi wamepanga Mikutano ya Mwanza, Arusha na Mbeya Bila kuwashirikisha halafu Wanataka Chadema ishiriki hilo haliwezekani
" Wazee wangu hivi sasa Chama kinatumia gharama kubwa sana kuendesha Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu sasa Wenzetu Wanataka tuache tukaungane nao, nasema hilo haliwezekani" amesisitiza Mbowe
Wamepanga bajeti na kila kitu Peke yao halafu tunapowakatalia kushiriki wanatuita Wasaliti, tumemsaliti nani? amelalamika Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe
Mbowe alikuwa anaongea na Wazee wa Chadema yaani BAZECHA
Alipofika karibu aliuona mji akaulilia akisema Laiti ungelijua yapasayo Laiti ungelijua Amani 😂😂🔥
Mbowe amesema akina Mwabukusi wamepanga Mikutano ya Mwanza, Arusha na Mbeya Bila kuwashirikisha halafu Wanataka Chadema ishiriki hilo haliwezekani
" Wazee wangu hivi sasa Chama kinatumia gharama kubwa sana kuendesha Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu sasa Wenzetu Wanataka tuache tukaungane nao, nasema hilo haliwezekani" amesisitiza Mbowe
Wamepanga bajeti na kila kitu Peke yao halafu tunapowakatalia kushiriki wanatuita Wasaliti, tumemsaliti nani? amelalamika Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe
Mbowe alikuwa anaongea na Wazee wa Chadema yaani BAZECHA
Alipofika karibu aliuona mji akaulilia akisema Laiti ungelijua yapasayo Laiti ungelijua Amani 😂😂🔥