Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Hii ni baada ya kuteuliwa na Waziri Damas Ndumbaro kuwa Mjumbe wa Basata.
---
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo , Dkt. Damas Daniel Ndumbaro amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) baada ya Rais wa wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kumteua Prof. Saudin Jacob Mwakaje kuwa Mwenyekiti wa Baraza hilo, uteuzi huo ni kwa mujibu wa Sheria ya Baraza Na. 23 ya mwaka 1984 Sura 204.
Wajumbe walioteuliwa ni Joachim Marunda Kimaryo (Master J), Single Mohamed Mtambalike (Richie Richie), Jessica Julius Mshama, Dkt. Gervas Andrew Kasiga (Chuma), Felista Steven Lelo na Mgunga Attilio Mwamnyenyerwa (Baba Watoto).
Aidha, kufuatia uteuzi huu Waziri Dkt. Ndumbaro ametengua uteuzi wa Wajumbe wa Baraza hilo walioteuliwa hapo awali.
---
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo , Dkt. Damas Daniel Ndumbaro amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) baada ya Rais wa wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kumteua Prof. Saudin Jacob Mwakaje kuwa Mwenyekiti wa Baraza hilo, uteuzi huo ni kwa mujibu wa Sheria ya Baraza Na. 23 ya mwaka 1984 Sura 204.
Wajumbe walioteuliwa ni Joachim Marunda Kimaryo (Master J), Single Mohamed Mtambalike (Richie Richie), Jessica Julius Mshama, Dkt. Gervas Andrew Kasiga (Chuma), Felista Steven Lelo na Mgunga Attilio Mwamnyenyerwa (Baba Watoto).
Aidha, kufuatia uteuzi huu Waziri Dkt. Ndumbaro ametengua uteuzi wa Wajumbe wa Baraza hilo walioteuliwa hapo awali.