Mbowe akatisha ziara ya kikazi ili kuwahi Mazishi ya Sabodo, anayezikwa leo usiku

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,795
218,436
Taarifa ya dharula ya Chadema iliyosambazwa mitandaoni inaeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho amelazimika kukatisha ziara ya kichama ili kuwahi mazishi ya Bilionea mwenzake Sabodo

Screenshot_2024-03-23-16-32-20-1.png
Screenshot_2024-03-23-16-32-20-2.png

Sabodo aliyefariki Alfajiri ya kuamka leo atazikwa leo saa 4 usiku kwenye Makaburi ya Kisutu

Screenshot_2024-03-23-16-34-15-1.png


INNALILLAH WAINNALILLAH RAAJUUN
 
Back
Top Bottom