Bunge lakanusha Kauli ya Mbowe kuwa Mshahara wa Wabunge umepanda kutoka Tsh Milioni 13 hadi 18

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,598
17,726
Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..

Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)


20240323_084602.jpg


Taarifa ya Awali: Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho
 
Waongo hao. Si waweke wazi ni kiasi gani wabunge wanalipwa badala ya kukanusha tu. Na kama waliaita akina Paskali Mayalla kwenye Kamati ya Bunge kwa mambo mdago kwa nini wasimuite Mbowe kwa hili.... Hapo ndipo nitaamini.

Chadema wana Mbunge wao mmoja bungeni. Amuombe atoe payslip yake hadharani.
 
Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..

Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)


View attachment 2942304
Sasa ukweli ni upi?? Hili bunge la Tanzania limekuwa la kiswahiliswahili. Mpa awamu ya sita iishe nchi itakuwa vipandevipande
 
Hii serikali ya ccm kwa kukana ukweli ndiyo yenyewe (yaani imefuzu):-
1. 2021 wakati JPM mgonjwa, pm Majaliwa alikana akasema anachapa kazi.
2. Wafanyakazi bandarini wanalalamika kutemeshwa kazi na DP World, serikali inakana.
3. Mbowe mtu mwenye reliable and credible sources of information anasema wabunge wamejiongezea mishahara, serikali inakana.
 
Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..

Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)


View attachment 2942304
KWANI MSHAHARA wa MBUNGE NI KIASI GANI KWA SASA?
 
Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..

Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)


View attachment 2942304
Hii taarifa ya kijinga kwenda kwa wajinga.
Taarifa yenye weledi inatakiwa ioneshe mshahara sahihi kwa wakati huu (Mbowe alisema 18m ambapo ukweli ni .......).
Hata hivyo, kwa sababu ya mabadliko ya fikra na teknolojia, siku si nyingi mambo kama haya hayatakuwa siri tena.
 
97.5% ya wabunge wapo mjengoni kwa ajili ya maokoto.

Hizo 2% ni wale wafanya biashara wakubwa wapo pale kufanikisha mambo yao.
0.5% wapo pale kusaidia majimbo yao.

Ubunge unachukuliwa ni kama sehemu ya kutafuta maisha zaidi kuliko kutatua kero za wananchi.

Bongo wanasiasa wengi waneingia kwenye mifumo kwa sababu ni chawa wazuri au ndugu za vigogo na akili hawana, wenye akili wapo mtaani.
Wengine kuiba kura kumewafanya waingie kwenye uongozi, je hio nchi kuna maendeleo?
 
Hii taarifa ya kijinga kwenda kwa wajinga.
Taarifa yenye weledi inatakiwa ioneshe mshahara sahihi kwa wakati huu (Mbowe alisema 18m ambapo ukweli ni .......).
Hata hivyo, kwa sababu ya mabadliko ya fikra na teknolojia, siku si nyingi mambo kama haya hayatakuwa siri tena.
Ndio maana zilifanyika juhudi upinzani watoke bungeni ili wale mema ya nchi.
 
Back
Top Bottom