Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,102
Vikao viwili vya baraza la mawaziri vilivyotangulia vilimalizika na pangua pangua kwenye wizara, mikoa na wilaya.
Leo tena ikiwa mwenzi aujaisha wamekutana tena katika kikao kazi, je nani unadhani atakuwa amemzingua mama?
DAS aliyetuhumiwa kwa mafuta atapona? Waziri aliyefanya utani atapona? Wakuu wa vyombo vya ulinzi watapona baada ya kauli ya CDF?
Kuna kelele za wafanyakazi wa bandari, kuna Mwendokasi na kukatika kwa maji.....je wenye dhamana watabaki salama?
Kila la kheri Baraza la Mawaziri
Leo tena ikiwa mwenzi aujaisha wamekutana tena katika kikao kazi, je nani unadhani atakuwa amemzingua mama?
DAS aliyetuhumiwa kwa mafuta atapona? Waziri aliyefanya utani atapona? Wakuu wa vyombo vya ulinzi watapona baada ya kauli ya CDF?
Kuna kelele za wafanyakazi wa bandari, kuna Mwendokasi na kukatika kwa maji.....je wenye dhamana watabaki salama?
Kila la kheri Baraza la Mawaziri