Kwa kifupi yamedoda, hayana mvuto na CHADEMA wamejifikishia ujumbe mkubwa wananchi hawadanganyiki. Yako wapi yale maandamano tuliyoaminishwa na kudanganywa eti yanatumika kufikisha ujumbe kwa wananchi kwa kufanyika miji tofauti.
Hivi, wanaona wananchi ni wajinga hawawezi kupata huo ujumbe kupitia vyombo vya habari hadi Chadema waandamane nchi nzima kama walivyotuaminisha. Washindwe na walegee.
Hivi, wanaona wananchi ni wajinga hawawezi kupata huo ujumbe kupitia vyombo vya habari hadi Chadema waandamane nchi nzima kama walivyotuaminisha. Washindwe na walegee.