Ninaunga mkono hoja ya Godbless Lema kuhusu utalii. Soma hapa alichoandika mtandaoni

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,224
22,306
Huyu kada wa CHADEMA na mnufaika wa michango ya Join The Chain, Godbless Lema, kaandika kitu cha maana sana huko Twitter (X). Ninamuunga mkono 100% kww maslahi mapana ya taifa. Kaandika hivi;

Miaka mingi iliyopita niliongea na aliyekuwa Waziri Mkuu wkt huo Mh Mizengo Pinda kuhusu uzuri wa Tanga unaoboreshwa na nyumba za zamani. Utalii mojawapo muhimu wa Nchi kama Morroco ni pamoja na watu kwenda kutazama majengo ya zamani. Morroco inapokea zaidi ya watalii milioni nane kwa mwaka wkt Tanzania pamoja na vivutio vyote tulivyo navyo hawapokei watalii wanaozidi milioni moja na hapa ni pamoja na kumhesabu John Heche wkt anakwenda kwao Tarime kupitia njia yaNgorongoro.

Ni aibu kuwa na viongozi wa Nchi wasiokuwa na maono ambao badala ya kuzuia majengo kale kuvunjwa ambayo yana hadhi kubwa ktk Jiji la Tanga badala yake wanageuza mji mzuri wa zamani kuwa na sura ya Miji ya Kichina.Tanzania inapaswa kutunga sheria na sera bora za udhibiti wa urithi wa majengo ya zamani, maana huu ni utalii ambao hauwezi hata kushambuliwa na magonjwa au kuathiriwa na mabadiliko ya Tabia Nchi kama wanyama ktk hifadhi.

Ni rai yangu kuu kwa viongozi wa Serikali kuwa wanapotembea Nchi nyingine Duniani wajifunze kutazama mambo muhimu na kuiga badala ya kuishia China stores na ktk Malls na kupiga picha za kumbukumbu kama walivyofanya Dubai wkt wa deal ya DP World. Haya majengo Tanga ni utalii mkubwa sana ila unapaswa kuwa na akili inayozidi cheti kutambua hili.

=======
Miaka mingi iliyopita niliongea na aliyekuwa Waziri Mkuu wkt huo Mh Mizengo Pinda kuhusu uzuri wa Tanga unaoboreshwa na nyumba za zamani. Utalii mojawapo muhimu wa Nchi kama Morroco ni pamoja na watu kwenda kutazama majengo ya zamani.

Morroco inapokea zaidi ya watalii milioni nane kwa mwaka wkt Tanzania pamoja na vivutio vyote tulivyo navyo hawapokei watalii wanaozidi milioni moja na hapa ni pamoja na kumhesabu John Heche wkt anakwenda kwao Tarime kupitia njia yaNgorongoro.

Ni aibu kuwa na viongozi wa Nchi wasiokuwa na maono ambao badala ya kuzuia majengo kale kuvunjwa ambayo yana hadhi kubwa ktk Jiji la Tanga badala yake wanageuza mji mzuri wa zamani kuwa na sura ya Miji ya Kichina.

Tanzania inapaswa kutunga sheria na sera bora za udhibiti wa urithi wa majengo ya zamani, maana huu ni utalii ambao hauwezi hata kushambuliwa na magonjwa au kuathiriwa na mabadiliko ya Tabia Nchi kama wanyama ktk hifadhi.

Ni rai yangu kuu kwa viongozi wa Serikali kuwa wanapotembea Nchi nyingine Duniani wajifunze kutazama mambo muhimu na kuiga badala ya kuishia China stores na ktk Malls na kupiga picha za kumbukumbu kama walivyofanya Dubai wkt wa deal ya DP World. Haya majengo Tanga ni utalii mkubwa sana ila unapaswa kuwa na akili inayozidi cheti kutambua hili.
 
Wakati unaposhangaa hilo kwenye Utalii,nenda Arusha ukashangae kuona jinsi utalii unavyofanyika ..ukiweza watafute waongoza watalii ili wakupe Ukweli mchungu kuhusu kazi yao, kisha njoo jukwaani ..kama utakuwa hujanielewa ...nenda ukaone jinsi ng'ombe dume anavyojaribiwa kukamuliwa maziwa!..
 
Huyu kada wa CHADEMA na mnufaika wa michango ya Join The Chain, Godbless Lema, kaandika kitu cha maana sana huko Twitter (X). Ninamuunga mkono 100% kww maslahi mapana ya taifa. Kaandika hivi;

Miaka mingi iliyopita niliongea na aliyekuwa Waziri Mkuu wkt huo Mh Mizengo Pinda kuhusu uzuri wa Tanga unaoboreshwa na nyumba za zamani.Utalii mojawapo muhimu wa Nchi kama Morroco ni pamoja na watu kwenda kutazama majengo ya zamani.Morroco inapokea zaidi ya watalii milioni nane kwa mwaka wkt Tanzania pamoja na vivutio vyote tulivyo navyo hawapokei watalii wanaozidi milioni moja na hapa ni pamoja na kumhesabu John Heche wkt anakwenda kwao Tarime kupitia njia yaNgorongoro.

Ni aibu kuwa na viongozi wa Nchi wasiokuwa na maono ambao badala ya kuzuia majengo kale kuvunjwa ambayo yana hadhi kubwa ktk Jiji la Tanga badala yake wanageuza mji mzuri wa zamani kuwa na sura ya Miji ya Kichina.Tanzania inapaswa kutunga sheria na sera bora za udhibiti wa urithi wa majengo ya zamani,maana huu ni utalii ambao hauwezi hata kushambuliwa na magonjwa au kuathiriwa na mabadiliko ya Tabia Nchi kama wanyama ktk hifadhi.

Ni rai yangu kuu kwa viongozi wa Serikali kuwa wanapotembea Nchi nyingine Duniani wajifunze kutazama mambo muhimu na kuiga badala ya kuishia China stores na ktk Malls na kupiga picha za kumbukumbu kama walivyofanya Dubai wkt wa deal ya DP World.Haya majengo Tanga ni utalii mkubwa sana ila unapaswa kuwa na akili inayozidi cheti kutambua hili.

=======
Miaka mingi iliyopita niliongea na aliyekuwa Waziri Mkuu wkt huo Mh Mizengo Pinda kuhusu uzuri wa Tanga unaoboreshwa na nyumba za zamani.Utalii mojawapo muhimu wa Nchi kama Morroco ni pamoja na watu kwenda kutazama majengo ya zamani.

Morroco inapokea zaidi ya watalii milioni nane kwa mwaka wkt Tanzania pamoja na vivutio vyote tulivyo navyo hawapokei watalii wanaozidi milioni moja na hapa ni pamoja na kumhesabu John Heche wkt anakwenda kwao Tarime kupitia njia yaNgorongoro.

Ni aibu kuwa na viongozi wa Nchi wasiokuwa na maono ambao badala ya kuzuia majengo kale kuvunjwa ambayo yana hadhi kubwa ktk Jiji la Tanga badala yake wanageuza mji mzuri wa zamani kuwa na sura ya Miji ya Kichina.

Tanzania inapaswa kutunga sheria na sera bora za udhibiti wa urithi wa majengo ya zamani, maana huu ni utalii ambao hauwezi hata kushambuliwa na magonjwa au kuathiriwa na mabadiliko ya Tabia Nchi kama wanyama ktk hifadhi.

Ni rai yangu kuu kwa viongozi wa Serikali kuwa wanapotembea Nchi nyingine Duniani wajifunze kutazama mambo muhimu na kuiga badala ya kuishia China stores na ktk Malls na kupiga picha za kumbukumbu kama walivyofanya Dubai wkt wa deal ya DP World.Haya majengo Tanga ni utalii mkubwa sana ila unapaswa kuwa na akili inayozidi cheti kutambua hili.
Mada ya hivi tumeandika sana humu majukwani hata hivyo naona juhudi ni ndogo sana zinazofanyoka.

Bila beaches hayo majengo yenu ya kale ni useless.
 
Wakati unaposhangaa hilo kwenye Utalii,nenda Arusha ukashangae kuona jinsi utalii unavyofanyika ..ukiweza watafute waongoza watalii ili wakupe Ukweli mchungu kuhusu kazi yao,kisha njoo jukwaani ..kama utakuwa hujanielewa ...nenda ukaone jinsi ng'ombe dume anavyojaribiwa kukamuliwa maziwa!..
Ungemaliza story yote hapa ili tulinganishe na hicho alichosema Lema.
 
Bila maendeleo ya fukwe za bahari ni bure kabisa. Tembeeni duniani aisee ...fikeni hata Rio de jeneiro,brazil muone jinsi nyomi la watalii wanaofurika katika fukwe za bahari during the summer . Tanzania tuna utajiri wa bahari na fukwe lakini hatuziendelezi kuvutia wageni kuja vacation
 
Wakati unaposhangaa hilo kwenye Utalii,nenda Arusha ukashangae kuona jinsi utalii unavyofanyika ..ukiweza watafute waongoza watalii ili wakupe Ukweli mchungu kuhusu kazi yao, kisha njoo jukwaani ..kama utakuwa hujanielewa ...nenda ukaone jinsi ng'ombe dume anavyojaribiwa kukamuliwa maziwa!..
Ungeelezea japo kidogo.
 
Majengo ya kale yana muda gani? Kama ni kipindi cha mjerumani hiyo sio kale.

Mfano West Minister Abbey limejengwa 13 century ‘Henry the III’ akiwa mfalme bado kuna mambo mengi sana ya historia yamefanyikia kwenye kanisa, jumlisha watu mashuhuri waliozikwa humo ndani kings, queens, Isaac Newton na watu wengine muhimu, architecture ya miaka hiyo inaonyesha umahiri wajenzi wa muda huo.

Same Parliament ya UK, Big Ben, Royal Palaces na sehemu nyingine zinazotembelewa zina historical significant.

Ukienda Italy Collosium, The Vatican, Sisten Chapel, majengo ya Michelangelo, kuna makanisa yana paints za watu mashuhuri kama Da Vinchi etc. Europę, Egypt, Israel, Iran, South America na duniani kote majengo ya kale yana cultural or religious or ancient significance kuvutia watalii.

Sasa hayo majengo ya Tanga yana historical significant gani ya kuvutia ‘culture tourism’ vinginevyo duniani kote kuna majengo ya kale. Lazima uwe na story ya kuvutia na hayo majengo ndio msingi wake.

Walau Kilwa kuna magofu ya msikiti wa kwanza na soko kuu la biashara ambalo lina miaka elfu kadhaa, eneo lenyewe lina historical significant kama stop over ya trade za Africa na dunia kabla ya hata biashara ya utumwa kuanza. But Tanga how do you sell it to the world.
 
Mada ya hivi tumeandika sana humu majukwani hata hivyo naona juhudi ni ndogo sana zinazofanyoka.

Bila beaches hayo majengo yenu ya kale ni useless.
Moja ya maeneo naona kama hatuja utilize in terms of beautification nadhan ni pale feri pande zote mbili. Je kwa huu uapnde wa posta kuliko kuacha vile mabajaj na mateja pasingewekwa vitu kama retaining wall. Na pakawa promoted na viti vya kukaa jion watu wakahamasishwa kuwa the only place ya kupata sea food barbecue ni posta unakaa unakula samak huku unaona zako meli zinaingia na kutoka. Nafikri jiji lingeingiza pesa sana.sasa hiv ukipita pale chini wamelala watu mataka taka wanapikia ugali kweny kingo za ukuta wanakunya bas ghahsia tu.
 
Majengo ya kale yana muda gani? Kama ni kipindi cha mjerumani hiyo sio kale.

Mfano West Minister Abbey limejengwa 13 century ‘Henry the III’ akiwa mfalme bado kuna mambo mengi sana ya historia yamefanyikia kwenye kanisa, jumlisha watu mashuhuri waliozikwa humo ndani kings, queens, Isaac Newton na watu wengine muhimu, architecture ya miaka hiyo inaonyesha umahiri wajenzi wa muda huo.

Same Parliament ya UK, Big Ben, Royal Palaces na sehemu nyingine zinazotembelewa zina historical significant.

Ukienda Italy Collosium, The Vatican, Majengo ya Michael Angelo, kuna makanisa yana paints za watu mashuhuri kama Da Vinchi etc. Europę, Egypt, Israel, South America na duniani kote majengo ya kale yana cultural or religious or ancient significance kuvutia watalii.

Sasa hayo majengo ya Tanga yana historical significant gani ya kuvutia ‘culture tourism’ vinginevyo duniani kote kuna majengo ya kale. Lazima uwe na story ya kuvutia na hayo majengo ndio msingi wake.

Walau Kilwa kuna magofu ya msikiti wa kwanza na soko kuu la biashara ambalo lina miaka elfu kadhaa, eneo lenyewe lina historical significant kama stop over ya trade za Africa na dunia kabla ya hata biashara ya utumwa kuanza. But Tanga how do you sell it to the world.
Yaani mtu anayeandika kiswanglish namuonaga kama shoga tu.
 
Back
Top Bottom