johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,013
- 142,048
Natoa tu angalizo kwa Wananchi wasije wakajichanganya wakadhani ni rahisi hapa Tanzania kutenda kama Senegal
Siasa za Tanzania ni za Kuchumia Tumbo hivyo Harakati zote za kisiasa zimeelekezwa kwa Vikundi fulani kujinufaisha kwa kuwatumia wengine
Siasa za Chadema na ACT wazalendo ni za Kuridhiana na CCM ambacho kwa misingi yake hakiwezi kutoka madarakani
Niendelee kuwatakia Juma Takatifu Lenye Baraka 😄
Pia soma > Mnyika: Mapambano yamewezesha Faye kushinda Uchaguzi wa Rais Senegal, November 2023 nilikuwa Senegal kusaidia Harakati za Upinzani!
Siasa za Tanzania ni za Kuchumia Tumbo hivyo Harakati zote za kisiasa zimeelekezwa kwa Vikundi fulani kujinufaisha kwa kuwatumia wengine
Siasa za Chadema na ACT wazalendo ni za Kuridhiana na CCM ambacho kwa misingi yake hakiwezi kutoka madarakani
Niendelee kuwatakia Juma Takatifu Lenye Baraka 😄
Pia soma > Mnyika: Mapambano yamewezesha Faye kushinda Uchaguzi wa Rais Senegal, November 2023 nilikuwa Senegal kusaidia Harakati za Upinzani!