Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wabunge wacharuka, washangazwa na Sauli Giliard UJENZI wa ofisi ndogo za Bunge zilizopo jijini Dar es Salaam umeishtua Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), ambapo mkataba wa awali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KIONGOZI wa Dini Padri Lucian Malamsha wa Kanisa Katoliki Zanzibar amemfananisha Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Rais (Muungano) Mohamme Seif Khatib na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Mara ya mwisho nilisikia umequit politiq, siku hizi hata wanafunzi wako hawakuoni, werayu,or does anyone know the whereabouts of this guy?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima mbele wadau, kwa mara nyingi nimekuwa nikifuatilia siasa na wanasiasa wa Tanzania na hasa huyu kijana mwenzetu Mh. Zitto kabwe, huyu mh ambae pia ni naibu katibu mkuu wa chadema mara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbatia awapasha wanasiasa Imeandikwa na Waandishi Wetu; Tarehe: 18th October 2009 MWENYEKITI wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia, amewalaumu wanasiasa kwa kudai kuwa wanafanya suala la...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Makamba akiri kuwepo kwa makundi ndani ya chama tawala Hemed Kivuyo, Arusha 10/19/2009 SIKU chache baada ya kudaiwa kuingia katika baadhi ya majimbo na kuendesha kampeni za kuwang'oa wabunge...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Gazeti la Daily nation la June 15, 2009 lilitoa hii katuni ambayo ilikuwa ikimkebehi Rais Kikwete mara tuu baada ya kuonana na Obama. Wadau mnalionaje hili ? Je kweli Muungwana ni cheer leader in...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Lipumba: Mgawo wa umeme JK alaumiwe na Neema Kishebuka, Tanga Tanzania Daima WAKATI Watanzania wakiendelea kukabiliwa na tatizo la mgawo wa umeme, Chama Cha Wananchi (CUF), kimesema hali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Chadema ni chama kidogo kwa mawazo yangu lakini ni future ya Tanzania. CCM inawakati mgumu kwa miaka 15-20 ijayo. Chadema itakuwa polepole sana lakini inamisingi imara kwani ina watu imara. Watu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Date::10/19/2009Risasi, mabomu yatumika kumuokoa meneja 'mshirikina' DarNa Geofrey Nyang’oro POLISI katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, jana walilazimika kutumia risasi za moto na mabomu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Festo Polea 10/16/2009 ASHISH Thakkar anatarajia kuwa Mtanzania wa kwanza kwenda mwezini wakati atakapofanya safari hiyo mwakani. Mtanzania huyo, ambaye ni chotara wa Kiingereza...
0 Reactions
59 Replies
8K Views
Kuna tetesi zimetapakaa ndani ya CCM especially baada ya Amosi Makala, Mweka Hazina wa CCM kukamata cheo hicho kwamba, hawaoni haja tena ya kumpa tena DEAL Komba wakati kuna bendi ya Vijana Jazz...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salma Said, Zanzibar KAMATI ya Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, ambayo imeundwa kuchunguza mwenendo wa vikao vya Baraza la Wawakilishi na mpasuko katika bunge, imeanza vibaya baada ya wawakilishi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Na Hemed Kivuyo, Arusha 10/17/2009 BAADA ya kimya cha muda mrefu, Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ameibuka kuunga mkono mijadalaNa inayotokea bungeni na kuwataka wabunge waendelee kuibua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
KIKAO cha Baraza la Wawakilishi kinaanza leo hii Maisara Mjini Zanzibar kikitarajiwa kujadili mambo mbali mbali ikiwemo jumla ya miswaada sita ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ambayo inatarajiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Poor performance? 2. False promises? 3. His crooked allies? 4. Next election worries? 5. ....... please keep on filling the page..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
"Wakati nikihutubia, ninakumbuka ghafla nilihisi kuishiwa nguvu, na hiyo inatokana na kukaidi ushahuri wa madaktari wangu ambao waliniambia nisisafiri kuja Mwanza. "Jamani poleni sana kwa hali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Deleted
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rank 32? Not us, Rwanda tells Index team A street in Kigali. Officials say data discrepancies in three of five categories weakened Rwanda’s scores. Photo/FILE By KEZIO-MUSOKE DAVID THE...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya serikali ya Chama cha Mafisadi (CCM) kujikuta imegonga mwamba katikakununua mitambo ya Dowans au kuchapisha vitambulisho vya taifa kwa gharama kubwa iliipate hela ya kugombea uchaguzi wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…