Kahangwa umedisapia?

Waridi

JF-Expert Member
Mar 30, 2008
1,025
172
Mara ya mwisho nilisikia umequit politiq, siku hizi hata wanafunzi wako hawakuoni, werayu,or does anyone know the whereabouts of this guy?
 
Du kama kaondoka wananchi wa NKENGE (jimbo la Dr.Kamala) watakuwa wamemkosa, maana alishakuwa tarajio lao mbadala baada ya Kamala kuwachosha kwa miyeyusho na dharau. Lakini juzi tu mbona alisikika akivinjari jimbo lile?
 
Back
Top Bottom