Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Yap, ufisadi si kuiba au kuikosesha mapato serikali lakini msamiati huu unaweza kuendelea kule nyewe Serikali yenyewe inakuwa na tendencies za KIFISADI FISADI sasa hivi wana Mradi mkubwa wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chama pekee chenye uwazi na uongozi bora. Matawi kede kede, tena duniani kote.
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Na Salim Said KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbroad Slaa amesema vita ya ufisadi nchini, haitafanikiwa kama serikali haitamkamata Kagoda na kumchukulia hatua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Demokrasia. Maadhimisho yanafanyika hapa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja. Maadhimisho haya yameandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania TCD. Maadhimisho yameanza kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hi all, Just got this somewhere. I believe the author has some points.... Mchango yangu baadaye. To our dear President, Thanks for this opportunity to address you, Sir. We are by now, way...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Vyanzo vyetu jijini Dar es salaam, vimethibitisha hali isiyo ya kawaida ambapo , Mwanaharakati John Mashaka amelivamia na kuliteka jimbo la UKONGA. Bw. John Mashaka ambaye yupo nchini kwa...
0 Reactions
106 Replies
14K Views
Words, I now can confirm, do not amount to much. We used to proudly proclaim that we would run while they walked. Words, my friends, words. We then said binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Niseme nini kisichojulikana? Alishinda kwa asilimia nyingi ya kura akijaza mioyo ya watanzania matumaini ya mwanzo mpya wa ujenzi wa taifa lao. Watu walitaraji mabadiliko. Walichopata badala yake...
0 Reactions
119 Replies
12K Views
Siku Rais alijibu maswali Nilijaribu kupiga simu sikupata, sikupenda kutumia anuani ya yahoo hivyo sikutuma e-mail. Laiti ningepata nafasi nimeguswa sana na ninakerwa na usafiri kwa ujumla na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Salim Said KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, John Chiligati amesema chama hicho hakina ugomvi wala uadui na wabunge wake wanaoongoza vita dhidi ya mafisadi nchini. Kauli hiyo imetolewa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Na Mwandishi Wetu MwanaHALISI KAMPUNI ya uwakala iliyosafirisha kontena lililokuwa na meno ya tembo ambayo yalikamatwa nchini Vietnam, inamilikiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya CCM...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya ni mojawapo tu ya maswali tuna debate kwenye familia yangu. Mimi na mzee wangu tuna philosophia tofauti kwenye siasa. Wakati yeye aliwahi kugombea ubunge kupitia chama cha CHADEMA uchaguzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MBUNGE wa Jimbo la Biharamulo Magharibi mkoani Kagera Bw. Oscar Mukasa ametoa simu 74 za mezani zitakazotumiwa na wapiga kura wake katika kuwasiliana naye. Bw. Mukasa alikabidhi simu hizo wiki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati JK anajibu maswali juzi, alisema Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) anaendelea na kazi ya kuhakiki madai ya walimu ili yaweze kulipwa. Nina tatizo kidogo: -Kwa kawaida na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati marais waliomtangulia waliamua kuondoa utawala wa Buganda kama njia ya kuondoa ukabila na kuunganisha nchi ya Uganda, Mseveni aliamua kurudisha utawala huo wa jadi wa Buganda kama njia ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni miaka minne sasa tangu tupewe kibwagizo kipya cha kisiasa cha Ari Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya. Je tumepata mafanikio gani kwa kauli mbiu hiyo?Je hali yetu ya Kisiasa, Uchumi, Kijamii na...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
..haya jamani nimekuja na swala lingine. ..naomba kujua wasifu wa Edington Kissasi na mchango wako kwa mapinduzi ya Zanzibar. ..je alikuwa Zanzibar kabla ya Mapinduzi au alipelekwa huko ktk...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wachambuzi wa mambo ya SIASA na KIJAMII, Hivi ile ziara ya Rais George W. Bush hapa TZ iliyo jaa mbwembwe na matarajio makubwa makubwa imeshazaa chochote cha kuelezeka? Wachambuzi leteni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tangu vita dhidi ya Ufisadi ianze hapa Afrika mashariki, sijasikia mwanamke yeyote aliyetajwa kuwa FISADI. Hii inanifanya nifikiri kuwa huenda wanawake ni watu waaminifu sana wakipewa uongozi wa...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
* President says two or three cases imminent * Says tackling sharks, not just "small fish" By George Obulutsa DAR ES SALAAM, Sept 10 (Reuters) - Tanzania's anti-graft agency will bring...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom