Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
"Wakati nikihutubia, ninakumbuka ghafla nilihisi kuishiwa nguvu, na hiyo inatokana na kukaidi ushahuri wa madaktari wangu ambao waliniambia nisisafiri kuja Mwanza.
"Jamani poleni sana kwa hali iliyotokea… nilijisikia vibaya, mwili kuishiwa nguvu, ndiyo maana mliona nilibebwa. Wataalamu wangu walinikataza ili niupumzishe mwili nikakaidi,"
My point is; hivi watu wasiokutakia MEMA mheshimiwa rais, hawatatumia kweli kauli zako kama hizi kuongeza kwamba UNAKAIDI pia ushauri wa wataalam wa KILIMO,SIASA, UCHUMI, ELIMU, n.k.?
"Jamani poleni sana kwa hali iliyotokea… nilijisikia vibaya, mwili kuishiwa nguvu, ndiyo maana mliona nilibebwa. Wataalamu wangu walinikataza ili niupumzishe mwili nikakaidi,"
My point is; hivi watu wasiokutakia MEMA mheshimiwa rais, hawatatumia kweli kauli zako kama hizi kuongeza kwamba UNAKAIDI pia ushauri wa wataalam wa KILIMO,SIASA, UCHUMI, ELIMU, n.k.?