Ina maana huyu Mwandishi pamoja na kuweka maelezo yote haya ameshindwa basi kuweka huo wasifu kwa kuonesha Mbowe amekata madarasa kwa kiasi gani?Natangulia kumwomba radhi Mbowe kwa kuwa sikumshirikisha katika kuandaa makala hii. Kwanza, ili nisilalie upande wowote na pili, kwa sababu ilikuwa ngumu kumpata kwa kuwa alikuwa nje ya nchi.
Freeman Aikael Mbowe, alizaliwa Septemba 14, mwaka 1961, ikiwa ni takriban miezi mitatu kabla ya Tanganyika kupata uhuru ambao ulitarajiwa kutangazwa rasmi Desemba 9, mwaka 1961.
Baba yake (mzee Aikael Mbowe), alikuwa miongoni mwa wapigania uhuru wa Tanganyika akishirikiana vema na kina Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Kwa sababu ya harakati alizozifanya na mapenzi kwa nchi yake, aliyotarajia iwe huru siku moja, mzee Mbowe aliamua kutombatiza mwanawe mpaka siku ya uhuru.
Kwa hiyo, mwenyekiti wa taifa wa CHADEMA, alibatizwa siku ya uhuru na kupewa jina la Freeman (akimaanisha ‘mtu huru').
Mbowe ni miongoni mwa waanzilishi wa CHADEMA baada ya mfumo wa vyama vingi vya kisiasa kuruhusiwa tena rasmi mwaka 1992.
Ndiye mwanzilishi wa CHADEMA aliyekuwa na umri mdogo kabisa kuliko wote walioianzisha CHADEMA. Katika kukitumikia chama kwa muda mrefu, alitumika kama Mkurugenzi wa Vijana makao makuu ya chama hicho.
Mnamo mwaka 2000; Mbowe aligombea ubunge wa Hai kupitia CHADEMA...
Maswali yako mengi sana kashindwa kuyaandikia majibu yake.ETI MBOWE NDIYE ALIYEKUWA KIJANA MDOGO KULIKO WOTE WA CHADEMA 1992.SWALI ALIFANYA UTAFITI HUO WAPI NA LINI? NAMPA CHANGAMOTO KUWA ZITTO KABIWE ALIJIUNGA CHADEMA MWAKA HUO HUO 1992.JEE ZITTO NA MBOWE NANI MKUBWA?Ina maana huyu Mwandishi pamoja na kuweka maelezo yote haya ameshindwa basi kuweka huo wasifu kwa kuonesha Mbowe amekata madarasa kwa kiasi gani?
Mchango wa Kaburu ulikuwa ni kukimbilia CCM kuungana na Hiza Tambwe!Jasusi.
Mwandishi kaandika mambo mengi ya kupika sio kweli mfano anasema kuwa MBOWE ndio alimtafuta na kumkomaza Zitto.WAKATI kwenye mahojiano mengi tu Zitto anasema yuko Chadema toka mwaka 1992.na Mbowe kapata uenyekiti 2004.
yapo mengi ambayo anaonesha kuwa kaandikiwa na Mbowe au ni kujipendekeza kwake. swali la Msingi hajasema kuwa Mwenyekiti huyu kasoma shule gani ana elimu gani?wasifu gani wa mwenyekiti wa Chama ambao hauelezi elimu ya Mwenyekiti?
kama Mbowe mpenda demokrasia kwanini hakumuachia Zitto nae awe Mwenyekiti kwa miaka mitano?mara Mbowe hapatokani alikuwa nje ya nje jee kwanini asimtumie email au sms?ili kupata ridhaa na ukweli wa habari kama hizo za ubatizo ambazo hazijathibitishwa na Mbowe mwenyewe na baba yake ameshafariki.ilitakiwa habari kama hizo zitoke kwake Mwenyekiti.angemtumia email kuulizwa maswali hayo.
kila jambo Mbowe ndiye aliyebuni jee sio KAMATI KUU ya Chadema ndio inayoamua kuwa kuwe na Helkopta au operesheni Sangara n.k?basi hakuna haja ya kuwa na Chama kama kila kitu ni Mbowe.
kama maendeleo ya Chadema huwezi kuandika na ukawaacha watu kama KABURU AMANI.pamoja na yote Kaburu anamchango mkubwa Chadema.mtu kama Zitto posible alipata ushawishi mkubwa toka kwa Kaburu.
Maswali yako mengi sana kashindwa kuyaandikia majibu yake.ETI MBOWE NDIYE ALIYEKUWA KIJANA MDOGO KULIKO WOTE WA CHADEMA 1992.SWALI ALIFANYA UTAFITI HUO WAPI NA LINI? NAMPA CHANGAMOTO KUWA ZITTO KABIWE ALIJIUNGA CHADEMA MWAKA HUO HUO 1992.JEE ZITTO NA MBOWE NANI MKUBWA?
ANATAKA KUTUDANGANYA KUWA MBOWE HAKUWA NA JINA KWA MIEZI MITATU HADI DECEMBER 1961?
Maswali yako mengi sana kashindwa kuyaandikia majibu yake.ETI MBOWE NDIYE ALIYEKUWA KIJANA MDOGO KULIKO WOTE WA CHADEMA 1992.SWALI ALIFANYA UTAFITI HUO WAPI NA LINI? NAMPA CHANGAMOTO KUWA ZITTO KABIWE ALIJIUNGA CHADEMA MWAKA HUO HUO 1992.JEE ZITTO NA MBOWE NANI MKUBWA?
...sio KAMATI KUU ya Chadema ndio inayoamua kuwa kuwe na Helkopta au operesheni Sangara n.k?basi hakuna haja ya kuwa na Chama kama kila kitu ni Mbowe. kama maendeleo ya Chadema huwezi kuandika na ukawaacha watu kama KABURU AMANI.pamoja na yote Kaburu anamchango mkubwa Chadema....
Jasusi.
Mwandishi kaandika mambo mengi ya kupika sio kweli mfano anasema kuwa MBOWE ndio alimtafuta na kumkomaza Zitto.WAKATI kwenye mahojiano mengi tu Zitto anasema yuko Chadema toka mwaka 1992.na Mbowe kapata uenyekiti 2004.
yapo mengi ambayo anaonesha kuwa kaandikiwa na Mbowe au ni kujipendekeza kwake. swali la Msingi hajasema kuwa Mwenyekiti huyu kasoma shule gani ana elimu gani?wasifu gani wa mwenyekiti wa Chama ambao hauelezi elimu ya Mwenyekiti?
kama Mbowe mpenda demokrasia kwanini hakumuachia Zitto nae awe Mwenyekiti kwa miaka mitano?mara Mbowe hapatokani alikuwa nje ya nje jee kwanini asimtumie email au sms?ili kupata ridhaa na ukweli wa habari kama hizo za ubatizo ambazo hazijathibitishwa na Mbowe mwenyewe na baba yake ameshafariki.ilitakiwa habari kama hizo zitoke kwake Mwenyekiti.angemtumia email kuulizwa maswali hayo.
kila jambo Mbowe ndiye aliyebuni jee sio KAMATI KUU ya Chadema ndio inayoamua kuwa kuwe na Helkopta au operesheni Sangara n.k?basi hakuna haja ya kuwa na Chama kama kila kitu ni Mbowe.
kama maendeleo ya Chadema huwezi kuandika na ukawaacha watu kama KABURU AMANI.pamoja na yote Kaburu anamchango mkubwa Chadema.mtu kama Zitto posible alipata ushawishi mkubwa toka kwa Kaburu.
Ina maana huyu Mwandishi pamoja na kuweka maelezo yote haya ameshindwa basi kuweka huo wasifu kwa kuonesha Mbowe amekata madarasa kwa kiasi gani?