Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mzozo wa Sophia Simba watua Z'bar • Makamu wake asema ni tishio UWT na Mwandishi Wetu SAKATA la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), limechukua sura mpya, baada ya Mwenyekiti wa umoja huo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimefikiria sana kuandika thread hii.Najiuliza kama sisi ni Watanzania Damu mbona hatutaki kuchukua hatua za EPA,BoT twin tower,Meremeta,Richmond,Dowans na ufisadi mwingine?Jeshi letu kujihusisha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni mgeni hapa, lakini nimeona nianze post yangu ya kwanza kwa habari hizi njema kwenu. Nimepata habari kwa mtu ambaye alikuwa karibu sana na Mhe. Augustine Lyatonga Mrema, kwamba, Mrema...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
weekend njema
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Swali linajieleza pamoja na picha, naombeni mnisaidie kujua aliko huyu bwana, maana ni siku nyingi sijamsikia wala kumuona kwenye vyombo vya habari, Hivi yuko hapa nchini??
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Date::11/24/2009Shamhuna,Khatib watia doa shangwe ya Karume, Maalim SeifNa Salma Said, Zanzibar  WAKATI Zanzibar ikiendelea kushangilia maafikiano ya kihistoria baina ya Rais Amani Abeid...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425...
0 Reactions
276 Replies
40K Views
Hivi hawa wapambanaji mbona majimboni mwao wanakumbana na aibu? Ni kuwa wananchi hawawaelewi ama? Je? wanaonekana kuwa wasanii? Je?wamesahau kuhudumia wananchi wao wakijificha kwenye kichaka...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Mabarabara mengi ya jijini yako kwenye matengenezo yasiyo ya lazima wala plani ya kueleweka. Barabara ya Old Bagamoyo inatolewa lami na kukarabatiwa. Barabara hii kero yake kubwa huwa ni ufinyu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kutokana na kuwepo kwenye kiti cha ubunge kupitia jimbo la Ilemela bila kuwepo na mafanikio ya kutosha, kuna tetesi kwamba wananchi wa jimbo hilo hawana mpango wowote wa kumpatia kura ndugu Dialo...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
  • Closed
Kilango amfagilia Lowassa Asema hana sababu za kumchukia Aonya kuna propaganda chafu Alonga hajawahi kuchangia Monduli Asisitiza hawezi kuvamia jimbo hilo. Na Hamis Mkotya MBUNGE wa...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Kilango awabeza wanaonyemelea jimbo lake na Dixon Busagaga, Moshi SIKU chache baada ya baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitokeza kutoa msaada kwa watu waliopoteza ndugu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtikisiko wazuka Baraza la Mawaziri Mwandishi Wetu Raia Mwema Novemba 25, 2009 Kikwete yaanza kumshinda Sasa hata Dk. Shein azoza SIKU chache tu baada ya kutuma ujumbe kwamba akipita mwakani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari tulizozipata sasa hivi zinazosikika tokea jana mchana kutoka kwa ving’weng’we wa siasa hapa mjini Dar Es Salaam zinasema kuwa CUF inatapia roho huko Zanzibar na wengi katika ving’weng’we...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi kwa nini watanzania hasa wanasiasa wanapenda hizi titles:Prof,Dr,Capt,Engineer,...na hata Sir.....hiki cha mwisho hutumiwa na raia wa uingereza tu lakini sisi tuanmuita Sir Andy Chande wakati...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
How in Wonderland, prosecutors Wander around for the sake of Wonder-wealthy I have heard Zomba and the co have recently walked out free reason being the judge could not find them guilt of the...
0 Reactions
1 Replies
972 Views
Na. M. M. Mwanakijiji (Tanzania Daima Jumatano Machi 18, 2009) WAKAKAA katika kikao chao wakakubaliana; “Tuwaambie kuhusu majenereta.” Huku wakiwa wametulia mahali wanapojua wao na Mungu wao...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Kesi ya Mbunge: Shahidi 'daktari' akiri hakumaliza kidato cha nneNa Mussa Juma,Arusha Shahidi wa tisa Flora John Mzava(48) katika kesi inayomkabili mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nawaandikia ninyi vijana, alinena mwandishi maarufu, kwa kuwa mna nguvu na mmemshinda yule mwovu. Ufurahieni ujana wenu, akasisitiza mwandishi mwingine mahiri, kabla hazijaja siku zilizo mbaya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miaka kama mitatu hivi kumekuwa na kesi za makampuni makubwa duniana kuficha taarifa za mapato yao na kuwafanya maboss wa makampuni na wamiliki wake kufikishwa mahakamani. Sasa je kwanini sisi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…