Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Kilango amfagilia Lowassa
Asema hana sababu za kumchukia
Aonya kuna propaganda chafu
Alonga hajawahi kuchangia Monduli
Asisitiza hawezi kuvamia jimbo hilo.
Na Hamis Mkotya
MBUNGE wa Same Mashariki,Anne Kilango Malecela(CCM).amevujna ukimya na kueleza hisia zake za kuhusiana na Mbunge wa Monduli,Edward Lowassa.katika mazungumzo kwa njia ya simu na gazeti hili jana.Kilango aliyeko mkoani Kilimanjaro kwa sasa, alisema kwazi kuwa hana ugomvi wala kinyongo chochote na kiongozi huyo aliyewahi kuwa waziri mkuu.
Kilango anayetajwa kuwa mmoja wa wabunge waliojipambanua kama wapinga ufisadi, alisema hana sababu yoyote ya kumchukia Lowass, iwe kwa sababu za siasa au nyinginezo.
Kauli hiyo imekuja takribani wiki moja tu baada ya gazeti moja la kila siku (si MTANZANIA), kuchapisha habari kwamba wabunge hao, akiwamo kilango, wamejiwekea mkakati wa kuhakikisha Lowassa haruki bungeni katika uchaguzi mkuu wa mwakani.
Katika taarifa hiyo, wabunge hao walitangazwa kushiriki katika harambee ya kuchangia watoto yatima wa Monduli juu, ingawa wenyewe hawakwenda huko.
Harambee hiyo iliyotafsiriwa kama uvamizi wa akina Kilango katika jimbo la Monduli, ilikusanya karibu sh. 10,000,000 huku Kilango, na wabunge wenzake Dk. Harrison Mwakyembe, na chiristopher ole Sendeka Lucas selelii, James Lembeli wakiongozwa minongi mwa wachangiaji wakubwa.
Ilidaiwa mtu mmoja ambaye hakutajwa jina ndiye aliyetoa fedha kwa niaba ya wabunge hao, ikiaminiwa kuwa walimpa fedha hizo au walitoa baraka ya kutoa fedha.
Tangu msiba ule utokee (Maporomoko yam lima huko same yaliyouawatu 24) na kuua watu wangu, sijatoka kwenda popote hii (ya Kilimanjaro ) ndiyo zira yangu ya kwanza na nimekuja huku kama mjumbe wa Halimashauri kuu ya chama cha Mapinduzi(NEC CCM) sikuja kama mbunge alisema.
Mimi sikui hata hiyo monduli yenyewe iko wapi. Hizo ni Propaganda ambazo hat sikui msingi wake ninini. Kama huyo mtu (aliyetoa fedha) yupo, kwa nini asiniletee huku akazipeleke Monduli? Kwanza nitoe mchango kwa ajili ya nini?
Alisema yeye ana shida ya fedha kwa ajili ya misaada jimboni kwake kwa hiyo asingeweza kutoa fedha kwa ajili ya kumsadidia mtu mwingine akachukue jimbo jingine.
Hivi nitakuwa na akili kweli? Wamuogope mungu, siwezi kumchangia mtu mwingine fedha wakati kwangu kunaungua.
Hizo taarifa ni za uongo, mimi na Lowassa wote ni wabunge wa CCM, sina sababu ya kufanya mikakati michafu dhidi yake. Hivi katika akili ya kawaida, nikuulize,sh. 500,000 zinaweza kumtoa Lowassa? Hizo ni propanganda tu, kuna watu wanaopenda kuona wenzao wakigombana mimi sina ugombi na Lowassa na hata yeye anajua.
Tunaogeza vizuri na tukikutana tunasalimiana. Sina sababu ya kwenda kumchafua jimboni kwake kama ambavyo yeye hana sababu ya kuja kunichafua jimboni kwangu alisema kwa utuluvu mama Kilango.
Akizungumzia mkakati anaotangazwa kuwa kuna watu wameingiza fedha jimboni kwake kuhakikisha naye haruki bungeni mwakani mamwa kilango alisema:
Hata hizi taarifa za kwamba kuna mafisadi sijui watu gani wamejipanga kuhakikisha sirudi bungeni ni uono mbona sijaona mtu yeyote jimboni kwangu? Ni wananchi wa same walionipa ubunge na ndio watakaoamua kunirudisha bungeni au hapana.
Alisema kwa kuwa jimbo la same si miliki yake binafsi yuko tayari kuwakaribisha washindane wakati ukiwfika hivyo ni mara ya kwanza kwa mbunge huyo kuzungumza hadharani hisia zake nje ya bune, kumhusu Lowassa .
Mbunge wa Same Mashariki Anna Kilango Malecela(CCM),amfagilia Lowassa asema hana sababu za kumchukia,aonya kuna propaganda chafu,Alonga hajawi kuchangia Monduli,asisitiza hawezi kuvamia jimbo hilo.Katika mazungumzo kwa njia ya simu na gazeti la Mtanzania Kilango aliyeko Kilimanjaro kwa sasa alisema wazi kuwa hana ugomvi wala kinyongo chochote na kiongozi huyo aliyewahi kuwa Waziri Mkuu.
Wakuu je mnalionaje hili,hii imekaaje?
Asema hana sababu za kumchukia
Aonya kuna propaganda chafu
Alonga hajawahi kuchangia Monduli
Asisitiza hawezi kuvamia jimbo hilo.
Na Hamis Mkotya
MBUNGE wa Same Mashariki,Anne Kilango Malecela(CCM).amevujna ukimya na kueleza hisia zake za kuhusiana na Mbunge wa Monduli,Edward Lowassa.katika mazungumzo kwa njia ya simu na gazeti hili jana.Kilango aliyeko mkoani Kilimanjaro kwa sasa, alisema kwazi kuwa hana ugomvi wala kinyongo chochote na kiongozi huyo aliyewahi kuwa waziri mkuu.
Kilango anayetajwa kuwa mmoja wa wabunge waliojipambanua kama wapinga ufisadi, alisema hana sababu yoyote ya kumchukia Lowass, iwe kwa sababu za siasa au nyinginezo.
Kauli hiyo imekuja takribani wiki moja tu baada ya gazeti moja la kila siku (si MTANZANIA), kuchapisha habari kwamba wabunge hao, akiwamo kilango, wamejiwekea mkakati wa kuhakikisha Lowassa haruki bungeni katika uchaguzi mkuu wa mwakani.
Katika taarifa hiyo, wabunge hao walitangazwa kushiriki katika harambee ya kuchangia watoto yatima wa Monduli juu, ingawa wenyewe hawakwenda huko.
Harambee hiyo iliyotafsiriwa kama uvamizi wa akina Kilango katika jimbo la Monduli, ilikusanya karibu sh. 10,000,000 huku Kilango, na wabunge wenzake Dk. Harrison Mwakyembe, na chiristopher ole Sendeka Lucas selelii, James Lembeli wakiongozwa minongi mwa wachangiaji wakubwa.
Ilidaiwa mtu mmoja ambaye hakutajwa jina ndiye aliyetoa fedha kwa niaba ya wabunge hao, ikiaminiwa kuwa walimpa fedha hizo au walitoa baraka ya kutoa fedha.
Tangu msiba ule utokee (Maporomoko yam lima huko same yaliyouawatu 24) na kuua watu wangu, sijatoka kwenda popote hii (ya Kilimanjaro ) ndiyo zira yangu ya kwanza na nimekuja huku kama mjumbe wa Halimashauri kuu ya chama cha Mapinduzi(NEC CCM) sikuja kama mbunge alisema.
Mimi sikui hata hiyo monduli yenyewe iko wapi. Hizo ni Propaganda ambazo hat sikui msingi wake ninini. Kama huyo mtu (aliyetoa fedha) yupo, kwa nini asiniletee huku akazipeleke Monduli? Kwanza nitoe mchango kwa ajili ya nini?
Alisema yeye ana shida ya fedha kwa ajili ya misaada jimboni kwake kwa hiyo asingeweza kutoa fedha kwa ajili ya kumsadidia mtu mwingine akachukue jimbo jingine.
Hivi nitakuwa na akili kweli? Wamuogope mungu, siwezi kumchangia mtu mwingine fedha wakati kwangu kunaungua.
Hizo taarifa ni za uongo, mimi na Lowassa wote ni wabunge wa CCM, sina sababu ya kufanya mikakati michafu dhidi yake. Hivi katika akili ya kawaida, nikuulize,sh. 500,000 zinaweza kumtoa Lowassa? Hizo ni propanganda tu, kuna watu wanaopenda kuona wenzao wakigombana mimi sina ugombi na Lowassa na hata yeye anajua.
Tunaogeza vizuri na tukikutana tunasalimiana. Sina sababu ya kwenda kumchafua jimboni kwake kama ambavyo yeye hana sababu ya kuja kunichafua jimboni kwangu alisema kwa utuluvu mama Kilango.
Akizungumzia mkakati anaotangazwa kuwa kuna watu wameingiza fedha jimboni kwake kuhakikisha naye haruki bungeni mwakani mamwa kilango alisema:
Hata hizi taarifa za kwamba kuna mafisadi sijui watu gani wamejipanga kuhakikisha sirudi bungeni ni uono mbona sijaona mtu yeyote jimboni kwangu? Ni wananchi wa same walionipa ubunge na ndio watakaoamua kunirudisha bungeni au hapana.
Alisema kwa kuwa jimbo la same si miliki yake binafsi yuko tayari kuwakaribisha washindane wakati ukiwfika hivyo ni mara ya kwanza kwa mbunge huyo kuzungumza hadharani hisia zake nje ya bune, kumhusu Lowassa .
Mbunge wa Same Mashariki Anna Kilango Malecela(CCM),amfagilia Lowassa asema hana sababu za kumchukia,aonya kuna propaganda chafu,Alonga hajawi kuchangia Monduli,asisitiza hawezi kuvamia jimbo hilo.Katika mazungumzo kwa njia ya simu na gazeti la Mtanzania Kilango aliyeko Kilimanjaro kwa sasa alisema wazi kuwa hana ugomvi wala kinyongo chochote na kiongozi huyo aliyewahi kuwa Waziri Mkuu.
Wakuu je mnalionaje hili,hii imekaaje?