Shishye
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 269
- 1
Mabarabara mengi ya jijini yako kwenye matengenezo yasiyo ya lazima wala plani ya kueleweka. Barabara ya Old Bagamoyo inatolewa lami na kukarabatiwa. Barabara hii kero yake kubwa huwa ni ufinyu zaidi kuliko ubora wa lami. Anyway, inapigwa greda kufurahisha watumiaji, je ni mkakati wa dhati au ndio yale 'mambo yetu' yamekaribia?