Ccm yaendelea kutia aibu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,955
22,131
Kesi ya Mbunge: Shahidi 'daktari' akiri hakumaliza kidato cha nne
broken-heart.jpg
Na Mussa Juma,Arusha

Shahidi wa tisa Flora John Mzava(48) katika kesi inayomkabili mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka jana alipata wakati mgumu mahakamani kuhusiana na elimu yake baada ya kukiri hajawahi kusajiliwa na Baraza la madaktari nchini.
Â
Shahidi huyo ndiye alimfanyia uchunguzi, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha, James Millya mara baada ya kudaiwa kupigwa kibao na Sendeka hata hivyo alikiri aliishia darasa la saba.
Â
Katika kesi hiyo  Sendeka anatuhumiwa kwa makosa mawili ya kumpiga kibao na kumtishia na bastola , Millya, Januari 9 mjini Monduli.
Â
Mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa
Arusha James Karayemaha, Shahidi huyo  alisema alipokuwa akifamfanyia uchunguzi Millya, alimkuta ana uvimbe usoni na ana maumivu ya kiuno.

Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano kati ya mwanasheria wa serikali Michael Luena  na shahidi huyo.
Â
Luena: Hebu chukua kielelezo namba P1 Je,unaitambua
Shahidi: Naitambua kuwa ni PF3 kwani ina mwandiko wangu na saini yangu
Luena: Nani alimfanyia uchunguzi Millya/
Shahidi: Mimi
Akiwahojiwa na wakili wa utetezi, Mpaya Kamara ,Shahidi huyo alikiri kuwa   hajasajiliwa na Baraza la madaktari(Tangayika Medical Council) kama sheria ivyosema kwa kuwa yeye ni daktari wa vidonda.
Â
Kamala: Hebu eleza elimu yako ya msingi ulisoma wapi?
Shahidi: Nilisoma katika shule ya msingi Enduleni iliyopo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha
Kamala: Ulimaliza mwaka gani?
Shahidi:Â Mwaka 1976
Kamala: Ulichaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari?
Shahidi: Ndio katika shule ya sekondari Karatu lakini niliishia kidatu cha pili mwaka 1978 kutokana na ugonjwa
Kamala: Kwa hiyo hukumaliza kidatu cha nne
Shahidi : Ndio
Kamala: Hebu angalia PF3 ilipaswa na kujazwa na nani sio medical Officer?
Shahidi: Ndio
Kamala: Wewe umesaini kama nani? Au uliandikiwa barua yoyote ya kukurusu kusaini badala ya mganga mkuu wa wilaya/
Shahidi : Sina
Kamala: Wewe ni daktari
Shahidi : hapana
Kamala Awali ulisema kuwa wewe unaweza kuhudumia magonjwa yote hata
upasuaji je ulifanya operesheni ngapi
Shahidi: siwezi ila nafunga vidonda na kupasua majipu
Kamala kama wewe sio daktari ulithibitisha vipi James Ole Millya alipata majeraha
Shahidi: Baada ya kumpokea na kumfanyia uchunguzi
Kamala :Uligundua nini?

Shahidi: Amepigwa na kitu chenye ncha kali shavu la kulia na alipata maumivu katika kiuno
Kamala:Maumivu hayo yalisababishwa na kitu gani?
Shahidi :Inawezekana ikawa mkono,mbao ama fimbo

Baada kumaliza kutoa ushahidi,mwanasheria wa serikali aliieleza mahakama kuwa amefunga ushahidi upande wa mashitaka na kuomba mwenendo wa kesi hiyo. Ombi hilo lilikubaliwa na mawakili wa utetezi na hakimu Karayemaha alisema kesi hiyo itatajwa desemba 4 mwaka huu na kueleza kuwa kama mwenendo mzima wa kesi utakuwa umekamilika siku hiyo watapatiwa
 
Kesi ya Mbunge: Shahidi 'daktari' akiri hakumaliza kidato cha nne
broken-heart.jpg
Na Mussa Juma,Arusha

Shahidi wa tisa Flora John Mzava(48) katika kesi inayomkabili mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka jana alipata wakati mgumu mahakamani kuhusiana na elimu yake baada ya kukiri hajawahi kusajiliwa na Baraza la madaktari nchini.
Â
Shahidi huyo ndiye alimfanyia uchunguzi, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha, James Millya mara baada ya kudaiwa kupigwa kibao na Sendeka hata hivyo alikiri aliishia darasa la saba.
Â
Katika kesi hiyo  Sendeka anatuhumiwa kwa makosa mawili ya kumpiga kibao na kumtishia na bastola , Millya, Januari 9 mjini Monduli.
Â
Mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa
Arusha James Karayemaha, Shahidi huyo  alisema alipokuwa akifamfanyia uchunguzi Millya, alimkuta ana uvimbe usoni na ana maumivu ya kiuno.

Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano kati ya mwanasheria wa serikali Michael Luena  na shahidi huyo.
Â
Luena: Hebu chukua kielelezo namba P1 Je,unaitambua
Shahidi: Naitambua kuwa ni PF3 kwani ina mwandiko wangu na saini yangu
Luena: Nani alimfanyia uchunguzi Millya/
Shahidi: Mimi
Akiwahojiwa na wakili wa utetezi, Mpaya Kamara ,Shahidi huyo alikiri kuwa   hajasajiliwa na Baraza la madaktari(Tangayika Medical Council) kama sheria ivyosema kwa kuwa yeye ni daktari wa vidonda.
Â
Kamala: Hebu eleza elimu yako ya msingi ulisoma wapi?
Shahidi: Nilisoma katika shule ya msingi Enduleni iliyopo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha
Kamala: Ulimaliza mwaka gani?
Shahidi:Â Mwaka 1976
Kamala: Ulichaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari?
Shahidi: Ndio katika shule ya sekondari Karatu lakini niliishia kidatu cha pili mwaka 1978 kutokana na ugonjwa
Kamala: Kwa hiyo hukumaliza kidatu cha nne
Shahidi : Ndio
Kamala: Hebu angalia PF3 ilipaswa na kujazwa na nani sio medical Officer?
Shahidi: Ndio
Kamala: Wewe umesaini kama nani? Au uliandikiwa barua yoyote ya kukurusu kusaini badala ya mganga mkuu wa wilaya/
Shahidi : Sina
Kamala: Wewe ni daktari
Shahidi : hapana
Kamala Awali ulisema kuwa wewe unaweza kuhudumia magonjwa yote hata
upasuaji je ulifanya operesheni ngapi
Shahidi: siwezi ila nafunga vidonda na kupasua majipu
Kamala kama wewe sio daktari ulithibitisha vipi James Ole Millya alipata majeraha
Shahidi: Baada ya kumpokea na kumfanyia uchunguzi
Kamala :Uligundua nini?

Shahidi: Amepigwa na kitu chenye ncha kali shavu la kulia na alipata maumivu katika kiuno
Kamala:Maumivu hayo yalisababishwa na kitu gani?
Shahidi :Inawezekana ikawa mkono,mbao ama fimbo

Baada kumaliza kutoa ushahidi,mwanasheria wa serikali aliieleza mahakama kuwa amefunga ushahidi upande wa mashitaka na kuomba mwenendo wa kesi hiyo. Ombi hilo lilikubaliwa na mawakili wa utetezi na hakimu Karayemaha alisema kesi hiyo itatajwa desemba 4 mwaka huu na kueleza kuwa kama mwenendo mzima wa kesi utakuwa umekamilika siku hiyo watapatiwa

ccm ni chanzo cha umasikini wa watanzania

1. IPTL
2. Buzwagi
3. Kagoda
4. Meremeta
5. EPA
6. Richmond
7. Dowans
8. Rada
9. ndege za raisi
10. IPTL tena

11. the list goes on and on

Ukiongezea hii stori hapo juu, itabidi utafute tylenol/panadol
 
ccm ni chanzo cha umasikini wa watanzania

1. IPTL - Mwinyi/Lowassa/Kolimba.
2. Buzwagi - Karamagi.
3. Kagoda- Mkapa/Rostam.
4. Meremeta - Mkapa/Mboma.
5. EPA - Mkapa/Rostam.
6. Richmond - Lowassa/Karamagi/Rostam.
7. Dowans - Lowassa/Rostam.
8. Rada - Mkapa/Mramba.
9. ndege za raisi - Mkapa/Rostam.
10. IPTL tena

11. the list goes on and on

Ukiongezea hii stori hapo juu, itabidi utafute tylenol/panadol

Vipi imekaaje hii?

Respect.


FMEs!
 
How does a standard seven graduate pose as a doctor? Haingii akilini kabisa how this person can pull that off. Lakini pia I have to wonder where does CCM come into all of this?
 
How does a standard seven graduate pose as a doctor? Haingii akilini kabisa how this person can pull that off. Lakini pia I have to wonder where does CCM come into all of this?

Hii kesi ninaona kijana James Millya hawezi kushinda kwa kuwa mashahidi wengi na ushahidi mwingi una utata na kuna contradictions kibao (sorry, siingilii mwenendo wa kesi, mali ni maoni tu).

Sasa kama huyu aliyethibitisha kwamba Millya aliumizwa, ni merely STD 7 leaver, mtaalam wa kufunga vidonda. Ina maana hospitali ya Wilaya ya Monduli haina Assistant Medical Officers au Medical Assistants? Kwanini huyu darasa la 7 alitumika kuthibitisha kwamba jamaa aliumizwa. Kwanini hawakutumia AMOs ama qualified Medical Doctors?

Tutaona mwisho wa hii kesi pamoja na hukumu yake jinsi itakavyokwenda na kama kijana Millya atashinda basi nitajua kwamba Mafisadi hatuwawezi.

How does CCM come into all of this?

Ni kwamba Millya ni kijana wa Lowassa na ana interest ya kugombea jimbo la Simanjiro kupitia CCM. Kwa hiyo in a way ni vita ya Mafisadi vs Wapiganaji/Makamanda. That is why siku ya kwanza kesi inaanza Reginald Mengi alionekana Mahakamani akiwa sambamba na Mh. Christopher ole Sendeka.

Labda mleta mada amekosea kuweka heading, kwa kuwa ni CCM wao kwa wao ndio wanalumbana. Kwa hiyo kama ni aibu wanatiana wao kwa wao ndani ya Chama.
 
. IPTL - Mwinyi/Lowassa/Kolimba.
2. Buzwagi - Karamagi.
3. Kagoda- Mkapa/Rostam.
4. Meremeta - Mkapa/Mboma.
5. EPA - Mkapa/Rostam.
6. Richmond - Lowassa/Karamagi/Rostam.
7. Dowans - Lowassa/Rostam.
8. Rada - Mkapa/Mramba.
9. ndege za raisi - Mkapa/Rostam.
10. IPTL tena

11. the list goes on and on

Ukiongezea hii stori hapo juu, itabidi utafute tylenol/panadol

hiili jina MKAPA ni la mtu mmoja ama baba mmoja mama tofauti inaonekana katutafuna kweli!!!
 
Hii kesi ninaona kijana James Millya hawezi kushinda kwa kuwa mashahidi wengi na ushahidi mwingi una utata na kuna contradictions kibao (sorry, siingilii mwenendo wa kesi, mali ni maoni tu).

Sasa kama huyu aliyethibitisha kwamba Millya aliumizwa, ni merely STD 7 leaver, mtaalam wa kufunga vidonda. Ina maana hospitali ya Wilaya ya Monduli haina Assistant Medical Officers au Medical Assistants? Kwanini huyu darasa la 7 alitumika kuthibitisha kwamba jamaa aliumizwa. Kwanini hawakutumia AMOs ama qualified Medical Doctors?

Tutaona mwisho wa hii kesi pamoja na hukumu yake jinsi itakavyokwenda na kama kijana Millya atashinda basi nitajua kwamba Mafisadi hatuwawezi.

How does CCM come into all of this?

Ni kwamba Millya ni kijana wa Lowassa na ana interest ya kugombea jimbo la Simanjiro kupitia CCM. Kwa hiyo in a way ni vita ya Mafisadi vs Wapiganaji/Makamanda. That is why siku ya kwanza kesi inaanza Reginald Mengi alionekana Mahakamani akiwa sambamba na Mh. Christopher ole Sendeka.

Labda mleta mada amekosea kuweka heading, kwa kuwa ni CCM wao kwa wao ndio wanalumbana. Kwa hiyo kama ni aibu wanatiana wao kwa wao ndani ya Chama.

Hivi Sendeka ni mpiganaji?teh teh
 
Vipi imekaaje hii?

Respect.

FMEs!

Mkuu FMES ... Hao wote uliowataja ni wana ccm tena wenye mamlaka ya juu kabisa kwenye chama na serikali. Kama wanayofanya hayaiwakilishi ccm, then sijui wanayafanya kama nani?!

Unaweza pia kuongezea jina la Chenge na Kikwete
 
Back
Top Bottom