Zanzibar kuwa na serikali ya mseto?

Vakwavwe

JF-Expert Member
May 16, 2009
503
100
wana jamvi mimi ni mchanga kwenye siasa ila najaribu kufuatilia kwa karibu yanayojiri kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi....
kwenye taarifa ya habari ya saa2 usiku TBC1 mzee Msekwa alikuwa akihojiwa kuhusu hali ya Zanzibar. katika majibu/maelezo yake amesema wao kama chama wanafikiria uwezekano wa kutawala kwa mseto Zanzibar kwa maana ya kuwashirikisha CUF. ameanzia uchaguzi wa 1995,2000 na hata 2005 kuwa mshindi alizidi kwa tofauti ndogo sana na kuwaacha nje ya serikali watu waliopata kuungwa mkono na wapiga kura wengi kiasi hiki sio haki sana though ndio utaratibu tulionao. kwa watu kama Msekwa kusema wanafikiria i guess ndo wanshaamua hivyo!!angekuwa mwanaCCM mwingine ningehisi kuwa ni mawazo binafsi lakini siyo kutoka kwa makamu mwenyekiti wa CCM.
tetesi zingine nilizopata nje ya mahojiano ya Msekwa ni kwamba mkulu wa Zanzibar haafiki ktk hili ndo sababu hata mikutano kadhaa hajahudhuria akitoa visingizio kadhaa......
Naamini kuna mengi watu wanayajua kuhusu hili naombeni mtupe kwa ukamili jamani....
 
wana jamvi mimi ni mchanga kwenye siasa ila najaribu kufuatilia kwa karibu yanayojiri kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi....
kwenye taarifa ya habari ya saa2 usiku TBC1 mzee Msekwa alikuwa akihojiwa kuhusu hali ya Zanzibar. katika majibu/maelezo yake amesema wao kama chama wanafikiria uwezekano wa kutawala kwa mseto Zanzibar kwa maana ya kuwashirikisha CUF. ameanzia uchaguzi wa 1995,2000 na hata 2005 kuwa mshindi alizidi kwa tofauti ndogo sana na kuwaacha nje ya serikali watu waliopata kuungwa mkono na wapiga kura wengi kiasi hiki sio haki sana though ndio utaratibu tulionao. kwa watu kama Msekwa kusema wanafikiria i guess ndo wanshaamua hivyo!!angekuwa mwanaCCM mwingine ningehisi kuwa ni mawazo binafsi lakini siyo kutoka kwa makamu mwenyekiti wa CCM.
tetesi zingine nilizopata nje ya mahojiano ya Msekwa ni kwamba mkulu wa Zanzibar haafiki ktk hili ndo sababu hata mikutano kadhaa hajahudhuria akitoa visingizio kadhaa......
Naamini kuna mengi watu wanayajua kuhusu hili naombeni mtupe kwa ukamili jamani....

Kuhusu serikali ya mseto hiyo imeongelewa sana hata miaka ya nyuma lakini mpaka leo hakuna kitu kama hicho. So hi nayo inaweza ikawa paying lip service tu. Lakini hata wakiweka serikali ya mseto ni lazima ujiulize hao wengine watapewa nafasi zipi serikalini? Na ratio ya kila chama serikalini itakuaje?
 
wana jamvi mimi ni mchanga kwenye siasa ila najaribu kufuatilia kwa karibu yanayojiri kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi....
kwenye taarifa ya habari ya saa2 usiku TBC1 mzee Msekwa alikuwa akihojiwa kuhusu hali ya Zanzibar. katika majibu/maelezo yake amesema wao kama chama wanafikiria uwezekano wa kutawala kwa mseto Zanzibar kwa maana ya kuwashirikisha CUF. ameanzia uchaguzi wa 1995,2000 na hata 2005 kuwa mshindi alizidi kwa tofauti ndogo sana na kuwaacha nje ya serikali watu waliopata kuungwa mkono na wapiga kura wengi kiasi hiki sio haki sana though ndio utaratibu tulionao. kwa watu kama Msekwa kusema wanafikiria i guess ndo wanshaamua hivyo!!angekuwa mwanaCCM mwingine ningehisi kuwa ni mawazo binafsi lakini siyo kutoka kwa makamu mwenyekiti wa CCM.
tetesi zingine nilizopata nje ya mahojiano ya Msekwa ni kwamba mkulu wa Zanzibar haafiki ktk hili ndo sababu hata mikutano kadhaa hajahudhuria akitoa visingizio kadhaa......
Naamini kuna mengi watu wanayajua kuhusu hili naombeni mtupe kwa ukamili jamani....

Serikali ya malaghai yenye uchu ya CCM hawawezi kukubali serikali ya umoja;wao wanataka watawale pekee yao milele!
 
hawa ccm waliwahi kusema mchele na kokoto haziendani kwa hiyo hakuna mseto wala nini.. lkn baada ya kupigwa bao na Cuf inaonekana wanajaribu njia za kuwashawishi Cuf warudi mezani.. mimi naona hakuna mseto hawa ni kuwaondoa tu kwa Mapinduzi kama wao wanavosema kuwa Serikali haitoki kwa karatasi.
 
Dear Nd.Vakwavwe,

>na kuwaacha nje ya serikali watu waliopata kuungwa mkono na wapiga kura wengi kiasi hiki sio haki sana though ndio utaratibu tulionao.>


I say, hapo umenifurahisha sana, kwani inaonesha kuwa wewe unaijua historia ya upigaji kura kule ZNZ. Hio kuwaacha nje wale walioungwa mkono na wapiga kura wengi ndio kweli utaratibu walionao ZNZ tokea zama za zama na sio utaratibu mzuri - hasa kwa sisi tunaopenda demokrasia ya kweli. Inaonesha Waznz wameirithi tabia hii kutoka kwa mababu na mabibi zao, kwani tokea huko nyuma kabla ya Mapinduzi mambo ndio yalikuwa hivyo hivyo.
Kabla ya Mapinduzi ilikuwa siku zote wale waliokuwa wakiungwa mkono na wapiga kura wengi walikuwa wakiachwa nje ya serikali mpaka hapo tarehe 12 January, 1964 ilipofika ndio wakaamua kutumia misuli yao. Kama sio hivyo mpaka leo wangelikuwa nje ya serikali japokuwa wao walikuwa wakiungwa mkono na wapiga kura wengi!
Jamani, ndugu zangu Waznz, tafadhalini acheni tabia hii mbaya mlioirithi toka siku za ukoloni wa kisultani!
Acheni tabia hii ya mababu na mabibi zenu, kwani wakati sasa ni mwengine!
 
Serikali ya mseto haitawezekana Zanzibar kwa sababu utashi ndania ya Kamti Kuu ya CCM haupo.

CCM ikikubali Serikali ya mseto itakuwa itakuwa inakubali ushauri,matakwa na maelekezo ya Hayati Mwalimu JK Nyerere.

Mimi sitaona tofauti yoyote katika sual la Uchaguzi huko Zenji.Nasubiri kuona wananchi wanapata mkong'oto na magari ya deraya mitaani ilikusaidia CCM ifanye ufisadi wa kisiasa ili ku-sustain status quo.
 
Hi Ngida,
>Jamani, ndugu zangu Waznz, tafadhalini acheni tabia hii mbaya mlioirithi toka siku za ukoloni wa kisultani!
Acheni tabia hii ya mababu na mabibi zenu, kwani wakati sasa ni mwengine!
>
Hii tabia wewe mwenyewe umeandika kuwa tokea kabla ya Mapinduzi ilikuwepo sasa leo na sisi tukiiendeleza kunaubaya gani wakati tumeirithi tokea huko nyuma?
Au umesahau nani alipata kura nyingi katika chaguzi za 1961 na 1963 na nani alipewa serikali?
Au mkuki kwa nguruwe kwa binaadamu mchungu?

Ngida, what is good for the goose is good for the gander!Kwahivyo, tuachie tuendelee na tabia yetu hio tulioirithi kutoka kwa Sultani wetu na wakoloni wenziwe!
 
Kuhusu serikali ya mseto hiyo imeongelewa sana hata miaka ya nyuma lakini mpaka leo hakuna kitu kama hicho. So hi nayo inaweza ikawa paying lip service tu. Lakini hata wakiweka serikali ya mseto ni lazima ujiulize hao wengine watapewa nafasi zipi serikalini? Na ratio ya kila chama serikalini itakuaje?
kiongozi upo?ulipotea sana au kwa sababu ya mfungo
 
CUF haihitaji serikali ya mseto wala pure(mahindi na maharage) ,kinachohitajiwa ni uchaguzi wa haki tu, anachoongelea Msekwa ni ushindi wa wizi chini ya uchaguzi uliojaa mizengwe ,sasa ulingano wa serikali ya mchanganyiko inatokana na uchaguzi uliokwenda sawa kihaki katika sehemu zote tokea uandikishaji hadi upigaji kura ukifuatiwa na matangazo yaliosawia bila ya kubadilishwa ,sasa hapo ikiwa pana tofauti ya asilimia ya 0.1 ndio unaweza kuitisha huo mkorogo , lakini uchaguzi mzima ni wizi mtupu alafu mnajidai kutaka machanganyo ya serikali ,hivi hawa jamaa wana akili au ndio wameshaona kuwa CCM inazama na wanatafuta njia za kuwemo serikalini ?

Wananchi ndio waachiwe kwa uhuru kabisa wachague Chama wakitakacho ,hapahitajiki polisi wala majeshi na maji ya washawasha kutafuta uongozi.
Vyombo vya dola vikae pembeni na kuangalia kuwa haki inafuatwa na pande zote ,wasiwe wanatumika na kutumiliwa na CCM ,vyombo hivi vikae na kuona hakuna anaevunja sheria ,sio CCM wala vingine vinakuwa juu ya sheria ,halafu tuone nani ataibuka na uongozi wa nchi hii.
 
Hi Ngida,
>Jamani, ndugu zangu Waznz, tafadhalini acheni tabia hii mbaya mlioirithi toka siku za ukoloni wa kisultani!
Acheni tabia hii ya mababu na mabibi zenu, kwani wakati sasa ni mwengine!
>
Hii tabia wewe mwenyewe umeandika kuwa tokea kabla ya Mapinduzi ilikuwepo sasa leo na sisi tukiiendeleza kunaubaya gani wakati tumeirithi tokea huko nyuma?
Au umesahau nani alipata kura nyingi katika chaguzi za 1961 na 1963 na nani alipewa serikali?
Au mkuki kwa nguruwe kwa binaadamu mchungu?

Ngida, what is good for the goose is good for the gander!Kwahivyo, tuachie tuendelee na tabia yetu hio tulioirithi kutoka kwa Sultani wetu na wakoloni wenziwe!

Nd. Lampart,

Sasa inamaana kabla ya Mapinduzi ASP walikuwa wakipata kura nyingi na still serikali wakipewa ZNP? Kutokana na hali hii unataka kwa sasa japokuwa CUF inapata kura nyingi lakini still serikali wapewe CCM?
Nd. Lampart, what is this called? New wave of democracy in the Isles?
Tafadhali tuwekee wazi, kwani in 1964 some of us were still in diapers!
 

Nd. Lampart,

Sasa inamaana kabla ya Mapinduzi ASP walikuwa wakipata kura nyingi na still serikali wakipewa ZNP? Kutokana na hali hii unataka kwa sasa japokuwa CUF inapata kura nyingi lakini still serikali wapewe CCM?
Nd. Lampart, what is this called? New wave of democracy in the Isles?
Tafadhali tuwekee wazi, kwani in 1964 some of us were still in diapers!

Ngida,
Naona umenipatapata japokuwa kwa pembeni.
Lakini comparison yako naona haielekei, kwani japokuwa ASP ndio CCM, lakini ZNP sio CUF. Au nimekosea?
>Nd. Lampart, what is this called?
This is called HISTORY REPEATS ITSELF!
ASP ikipata kura nyingi lakini haikuwa ikipewa serikali, na kwahivyo sasa waache CUF wapate kura nyingi lakini serikali wataiona paa tu!!!
Our history just repeats itself over and over, again and again na CUF walie tu kama tulivyokuwa tukilia sisi siku zile za Sultani!!!
It took us more than 200 years of slavery and sufferings to come up with the revolution, na kwahivyo CUF/ZNP watuachie tupoe kwanza na madaraka yetu tuliyoyapata tarehe 12 January, 1964!!!
 
..sababu zipo wakuu
..kuna uwezekano wakufanya hili bila kuhudhuria katiba?

..halafu nasikia waZanzibari ni wataalam wa mseto(chakula)Wink!
 
hiyo ni dhahiri kuwa ccm walikuwa wanaiba kura kwa upande wa zanzibar na 2010 naona hawataki tena dhambi hii ya wizi wanachofanya wanajiandaa kuweka utaratibu utakaowashirikisha kuunda serikali itakayoongozwa na upinzani
 
hiyo ni dhahiri kuwa ccm walikuwa wanaiba kura kwa upande wa zanzibar na 2010 naona hawataki tena dhambi hii ya wizi wanachofanya wanajiandaa kuweka utaratibu utakaowashirikisha kuunda serikali itakayoongozwa na upinzani
Hivi wewe hujui CUF ndio wanaoiba kura huko Pemba. Angalia nini wanakifanya sasa huko Pemba. Mseto sio tatizo. Wa-zenj ni kweli wataalamu wa Mseto. Lakini mseto huo usiwe ni agenda ya kumrudisha Seif madarakani (hebu na akae chonjo apumzike-kwani CUF hawana wengine wanaofaa?). Kama ni hivyo abadan-asilan!!!!!
 
wana jamvi mimi ni mchanga kwenye siasa ila najaribu kufuatilia kwa karibu yanayojiri kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi....
Kwenye taarifa ya habari ya saa2 usiku tbc1 mzee msekwa alikuwa akihojiwa kuhusu hali ya zanzibar. Katika majibu/maelezo yake amesema wao kama chama wanafikiria uwezekano wa kutawala kwa mseto zanzibar kwa maana ya kuwashirikisha cuf. Ameanzia uchaguzi wa 1995,2000 na hata 2005 kuwa mshindi alizidi kwa tofauti ndogo sana na kuwaacha nje ya serikali watu waliopata kuungwa mkono na wapiga kura wengi kiasi hiki sio haki sana though ndio utaratibu tulionao. Kwa watu kama msekwa kusema wanafikiria i guess ndo wanshaamua hivyo!!angekuwa mwanaccm mwingine ningehisi kuwa ni mawazo binafsi lakini siyo kutoka kwa makamu mwenyekiti wa ccm.
Tetesi zingine nilizopata nje ya mahojiano ya msekwa ni kwamba mkulu wa zanzibar haafiki ktk hili ndo sababu hata mikutano kadhaa hajahudhuria akitoa visingizio kadhaa......
Naamini kuna mengi watu wanayajua kuhusu hili naombeni mtupe kwa ukamili jamani....
hiyo imezungumzwa sana lakini kimantiki ya kisiasa na historia yetu haijafanyika na sio leo tu tangu ezi hizo za waarabu mbona hawakuyafanya hayo. Usiseme wapizani kupewa madaraka ya chini hiyo ipo maana mawizarani mwetu wamo wa upande wa upizani na tunaenda nao pamoja na tuna wafahamu vizuri tu, ila hii ya mseto hiyo anasema kama yeye msekwa tu. Watafute yao
 
Hivi wewe hujui CUF ndio wanaoiba kura huko Pemba. Angalia nini wanakifanya sasa huko Pemba. Mseto sio tatizo. Wa-zenj ni kweli wataalamu wa Mseto. Lakini mseto huo usiwe ni agenda ya kumrudisha Seif madarakani (hebu na akae chonjo apumzike-kwani CUF hawana wengine wanaofaa?). Kama ni hivyo abadan-asilan!!!!!

Wewe hufai hata kuwepo katika jamii ya binadamu ni RACIST ,halafu mna kitu mnakiogopa si bure ,ila mjue na kutambua mnachokiogopa kwa Seif kinaweza kutekelezwa na mtu yeyote yule ,na kitawaumiza vibaya sana pengine zaidi ya vile mnavyofikiria kutoka kwa Seif ,Seif aliitwa na Nyerere Butiama na Nyerere alitambua kuwa Seif ni kiongozi shujaa ,na Nyerere alimuomba Seif kitu ,hebu yatafute mazungumzo ya Seif na Nyerere ,uone baba yenu wa Taifa alivyomwamini Seif.
 
"It took us more than 200 years of slavery and sufferings to come up with the revolution, na kwahivyo CUF/ZNP watuachie tupoe kwanza na madaraka yetu tuliyoyapata tarehe 12 January, 1964!!![/QUOTE]"

Tutaendeleza chuki na visasi hadi lini? Nina wasiwasi kama muandishi anaitakia mema Zanzibar na TZ kwa jumla
 
Last edited:
"It took us more than 200 years of slavery and sufferings to come up with the revolution, na kwahivyo CUF/ZNP watuachie tupoe kwanza na madaraka yetu tuliyoyapata tarehe 12 January, 1964!!!
"

Tutaendeleza chuki na visasi hadi lini? Nina wasiwasi kama muandishi anaitakia mema Zanzibar na TZ kwa jumla[/QUOTE]

There were no slavery in Zanzibar but the slave market. Slaves were brought to Zanzibar from outside as merchandise for sell, even Zanzibaris themselves were allowed to purchase for their domestic use and cultivations of their cloves and coconut farms. If you don't know the history of Zanzibar please say so but do not distort The History.
 
wao kama chama wanafikiria uwezekano wa kutawala kwa mseto zanzibar kwa maana ya kuwashirikisha cuf. Ameanzia uchaguzi wa 1995,2000 na hata 2005 kuwa mshindi alizidi kwa tofauti ndogo sana na kuwaacha nje ya serikali watu waliopata kuungwa mkono na wapiga kura wengi kiasi hiki sio haki sana

ccm waongo tena muongo mkubwa huyo. Siku zote walikuwa hawalijui hilo?
 
Back
Top Bottom