Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,602
Salaam,
Niko ndani ya ukumbi huu wa AICC unapofanyika mkutano wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola. CBA.
Kinachoendelea sasa ni wajumbe wameshakaa sehemu zao, unasubiriwa ujio wa Rais Kikwete kuja kufungua rasmi.
Niko ndani ya ukumbi huu wa AICC unapofanyika mkutano wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola. CBA.
Kinachoendelea sasa ni wajumbe wameshakaa sehemu zao, unasubiriwa ujio wa Rais Kikwete kuja kufungua rasmi.
Last edited by a moderator: