Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Nimeona habari hii katika Gazeti la Raia Mwema nikaona niwajuze. RugemelezaMwalimu Nyerere wamlipua Kikwete Mwandishi Wetu Disemba 2, 2009 Siri za uteuzi wa mgombea urais CCM...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
Ni haki kwa wananchi kujiridhisha kama rais anaipenda nchi yetu. Kuna mambo kadhaa ambayo rais anawezapimwa kama anaipenda nchi yake. Hili suala la Mh. Rais Kikwete kufanya safari nyingi nje ya...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Kongamano la Nyerere latamka 'utajiri wa viongozi unatishia amani'*MITANDAO YA KISIASA YATAJWA PIA KAMA KITISHO NA CHANZO CHA KUCHAFUANA Na Ramadhan Semtawa VIONGOZI wa dini na taasisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimelikumbuka jambo moja ambalo niliwaahidi watanzania wenzangu wakati natafuta funguo za Ikulu! Ama kwa hakika watanzania wanadanganyika kirahisi sana. Nilijifanya nitashughulikia kwa nguvu zangu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kutokana na ukweli kuwa hali ya amani na majirani zeu inazidi kuimarika, kuna haja kama nchi kuliwezesha Jeshi letu na kulipa Jukumu rasmi la Kuzalisha chakula cha kutosha kwa ajili ya taifa hili...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Absalom Kibanda RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi azma yake ya kugombea urais kwa muhula wa pili mwakani, huku akitangaza kaulimbiu mpya anayokusudia kuingia nayo katika mapambano hayo...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Watangazaji wa Clouds Fm, Kibonde na Gadner wamemshukia mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA John Mnyika na kueleza kwamba anachanganya mambo. Wanahabari hao waliyasema hayo katika kipindi cha...
0 Reactions
109 Replies
12K Views
Na Salim Said KAMPENI za kuwania Ubunge Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam zimeanza kwa kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Inasikitisha sana kuona vijana wanapata ajira serikalini halafu bila kutendewa haki mnawafukuza kwa makosa yenu wenyewe.Jeshi la magereza walitangaza nafasi za kazi ambapo walitakiwa wasomi na...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Date::12/3/2009Kongamano la Nyerere latamka 'utajiri wa viongozi unatishia amani' *MITANDAO YA KISIASA YATAJWA PIA KAMA KITISHO NA CHANZO CHA KUCHAFUANA Na Ramadhan Semtawa Mwananchi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna hii taarifa ktk gazeti la leo la New Vision ambayo nimeikuta kule Bongo Pix kuwa wabongo wanasajiriwa na Al Shabaab kuiangusha serikali ya Somalia. Je kuna ukweli wowote? Serikali yasemaje...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamaa huyu wa Falme za Kiarabu ameigeuza Loliondo kuwa sehemu ya nchi yake. Naamini kuwa hii ni kukiuka Ibara ya 28 ya Katiba ya nchi yetu kuhusu ukamilifu na umiliki wa nchi yetu. Je si kosa la...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Makamba awatukana wanaoshauri Kikwete asigombee 2010Rais Kikwete kongamano la Nyerere limemweka katika lawama za kutokuwa na maamuzi na kuwa asipendekezwe kugombea awamu ya pili.Na Leon Bahati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wote wamesimama kwenye mvua, moja atishia kumlowesha mwenziye ! Wote wanaogelea kwenye tope, moja adai aliyechafuka labda mwenziye ! Wote wamtumikia bwana moja, hakuna wa kumsaliti mwenziye ...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sijui ni nini lakini kama wkipata facilities naona litakuwa gereza linaloongoza kwakutoa ma grads Sijui Governor wa lile Gereza ni nani lakini I'm curious kujua what exactly anachokifanya mle...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Below is a paragraph from a passage by Desiderius Erasmus (ca.1466-1536). The Passage is called "Education and the Christian Prince". I believe the paragraph has a strong message to our current...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hawa ni wachukuaji, si wawekezaji Jenerali Ulimwengu Raia Mwema Disemba 2, 2009 KWAMBA sekta muhimu kama kilimo inaweza kusahaulika, watawala wakaiweka kando, na bado wakaendelea kuwa watawala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu nimeona nirudi tena Jamvini kuuliza swali hili. Mimi ni mtanzania kwa kuzaliwa na naipenda nchi yangu, swali ni hivi tumekuwa tukisikia kuwa Nchi mbali mbali na baadhi ya nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hivi wizara hii kwa nini iko kwenye spotlight namna hii?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bilal Abdul-Aziz The National Electoral Commission (NEC) announced yesterday it would spend nearly 70bn/- in updating the Permanent Voters’ Register (PVR) and additional 64bn/- in organizing the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…