NCCR Mageuzi leo imefungua kesi mahakamani ya kuishinikiza serikali ivunje tume ya taifa ya uchaguzi na iunde nyingine ambayo itakuwa huru kabla ya 2010,
Swali je ktk muda mchache huu uliobaki itawezekana?, na je isipowezekana nini kitafuata?
wataendelea kuburuza!wanaojua wanajua tu!na wataendelea kujua tu kwamba CCM ina wanachama ndani ya vyama vya upinzaniNCCR Mageuzi leo imefungua kesi mahakamani ya kuishinikiza serikali ivunje tume ya taifa ya uchaguzi na iunde nyingine ambayo itakuwa huru kabla ya 2010,
Swali je ktk muda mchache huu uliobaki itawezekana?, na je isipowezekana nini kitafuata?
NCCR Mageuzi leo imefungua kesi mahakamani ya kuishinikiza serikali ivunje tume ya taifa ya uchaguzi na iunde nyingine ambayo itakuwa huru kabla ya 2010,
Swali je ktk muda mchache huu uliobaki itawezekana?, na je isipowezekana nini kitafuata?
NCCR Mageuzi leo imefungua kesi mahakamani ya kuishinikiza serikali ivunje tume ya taifa ya uchaguzi na iunde nyingine ambayo itakuwa huru kabla ya 2010,
Swali je ktk muda mchache huu uliobaki itawezekana?, na je isipowezekana nini kitafuata?