Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Wakuu,
Lini hasa tutawaweka KITIMOTO Mawaziri wetu ili watueleze wanaifanyia nini nchi yetu na tutegemee nini zaidi toka kwao. Utaratibu wa kila wiki kwa Mawaziri angalau wawili kuongea na Watanzania kupitia redio na televisheni kwa angalau saa tatu naamini unaweza kutusaidia.
Pia ni muhimu sana tukaanzisha utaratibu kwa Baraza la Mawaziri kuongea na Watanzania angalau mara moja kila robo mwaka kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu na watu wake.
Lini hasa tutawaweka KITIMOTO Mawaziri wetu ili watueleze wanaifanyia nini nchi yetu na tutegemee nini zaidi toka kwao. Utaratibu wa kila wiki kwa Mawaziri angalau wawili kuongea na Watanzania kupitia redio na televisheni kwa angalau saa tatu naamini unaweza kutusaidia.
Pia ni muhimu sana tukaanzisha utaratibu kwa Baraza la Mawaziri kuongea na Watanzania angalau mara moja kila robo mwaka kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu na watu wake.