Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Yale maandamano ya kumuunga mkono JK yaliyokuwa yameandaliwa na waliokuwa wamejinadi kuwa taasisi za kidini hayatakewepo. Akithibitisha kutokuwepo kwa maandamano hayo mmoja wa waandaaji na ambae angekuwa mzungumzaji alisikika akisema,'Unajua bwana mkuu wa jeshi la polisi amesema hayatakuwa na tafsiri nzuri kwa walio wengi na inawezekana kusemwa kuwa mkuu anatumia dini kuvuruga nchi. Pia mzee mwenyewe yaani rais amezungumza nasi kutoka Moshi katusihi tuachane na huo mpango kwa sasa' hayo aliyasema mwalimu huyu wa mihadhara ya usiku kijuweni kwake wagati wa gahawa ya jioni leo.