He will be worse than his dad.dr. hussein mwinyi
Naungana na wewe kiongozi!!Labda Dr Magufuli
Labda Dr Magufuli
usimdhanie kuwa hafai kwa sababu ya urefu wa kimo chake.Weweeeeeeeeeeeeeee, post ya juu kabisa inayomfaa magufuli ni PM... zaidi ya hapo mnachekesha.
naunga miguu hojaLabda Dr Magufuli
Kwanini?Weweeeeeeeeeeeeeee, post ya juu kabisa inayomfaa magufuli ni PM... zaidi ya hapo mnachekesha.
Kulikuwa hakuna JFada ya mja hunena muungwana vitendo
semeni wazi kuwa hamumpendi jk
mbona wakati wa bm hamkuthubutu kusema????
Mzee rukhsa alilizika azimio la arusha mbona hamsemi
ada ya mja hunena muungwana vitendo
semeni wazi kuwa hamumpendi jk
mbona wakati wa bm hamkuthubutu kusema????
Mzee rukhsa alilizika azimio la arusha mbona hamsemi
chakufahamu hapa ni hata kama sisi wana jf wote hatumtaki pamoja na wasomao magazeti lakini mjue kuna mamilioni ambao wako nyuma yao jee hao wote ni wajinga??????
Hivi ni raisi gani amewahi kuthubutu kuwapeleka mahakamani idadi kubwa ya viongozi tangu tupate uhuru???? Au mlitaka awahukumu kwa kuwaweka kizuizini kama zile enzi???????