Nini malipo ya misaada hii ndani ya Ikulu?

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,013
78,975
Naombeni kuuliza? Huu mtindo wa wafanyabiashara haswa hawa wenzetu wenye asili ya Kiasia kutaka publicity wanapotoa misaada inanikera! Hebu angalieni hii picha hapa chini ya

JK-Gari.jpg


huyu mhusika wa CMC Automobile anam-pimp Rais wa nchi kama kwenye kile kipindi cha PIMP MY RIDE cha Xhibit na probably baada ya kumkabithi funguo alimvuta koti lake kwa juu na kumwambia you are official pimped Mr Wakubembea!! halafu wa kubembea atakuwa alirudi Ofisini akaning'inia na kujizungusha kitini na kusema thank you CMC Automobiles for pimping my hospitals! Hahahah we got a President here!

JK (Wakubembea) anapokea ambulance mbili toka kwa huyu mhusika ndani ya Ikulu mtumeeee! Asalalalah! na ni kweli serikali hii ya Wakubembea iko pimped kwelikweli na ganstars

Jamani hii ikulu imekuwa sehemu ya kupokelea zawadi sio? yale ya Mzee Ruksa yanajirudia tena? Hii ni aibu gani kwa taifa letu! Tujiulize je thamani ya magari hayo mawili ni nini? Na kwa nini zawadi hizi zisipokelewe na hospitali lets say Ocean Road Hospital au Muhimbili kuna wakuu pale! Ni kwanini napinga huu mwenendo wa Wakubembea kukumbatia watui wenye personal interest na utawala wake! Ikumbukwe hii zawadi inatoka kwa mtu au kampuni binafsi na sio taasisi na hainijii akilini mpk lini tutaendelea kupuuza malalamiko ya wadanganyika juu ya Ikulu kudhaminiwa?

Juzijuzi pia Bwana Mwema alipokea zawadi toka kwa wale wanaojiita CEO Roundtable yaani vitu kama baiskeli, pikipiki, ving'ora, viatu na kofia pia! Sasa tujiulize hawaku-submit na authority yao pia kwa hawa mabwana? Ni serikali gani tuliyonayo inayoshindwa hata kununua viatu vya maafande wetu wakaheshimika katika kuilinda dola? Kodi yetu inaenda wapi? Mimi napinga kusaidia Polisi nakataa kabisa huu mchezo mchafu!! nauhakika leo hii mimi mlala hoi nikienda kuwashitaki jamaa wa CEO Roundtable sitapewa haki! Na kuhusu hizo ambulance, sidhani Ikulu ni mahali pa kupokea zawadi, huku ni kuiaibisha dola kulikokubuhu na kuonekana sawa namna hii, hizo ambulance zingeweza kupelekwa mahospitalini direct zikapokelewa na Mkuu wa hospitali! Bila ya kuanza kuleta picha chafu namna hii, ati Rais apokea ambulance mbili Ikulu na huyo huyo alikataa kwenda kwenye ufunguzi wa Hospitali Selian Arusha ambayo inapunguza makali ya serikali yake kwenye kutekeleza wajibu, where is his priorities?

Kwa wale wanaosema tunamchukia Kikwete naomba waangalie jinsi utaratibu unaokubalika unavyofanyika hapa chini tunaona WHO (an institution inaenda moja kwa moja kutoa misaada kwa wizara husika na hata kama Waziri asingekuwepo wao wasingejali! Kwa vile hawa watu (UN) wamepitia hizi zama za kurubuniwa na makampuni binafsi! Wakaelimika wakaja na Protocol sasa nashangaa unapokuwa na Katibu wa Ikulu na Msemaji wa Ikulu na msururu wa wasaidizi halafu wanashindwa kumshauri huyu Mkwere wetu ku-behave accordingly inatia kinyaa! haiwezekani kila mtu aende kutoa misaada kwa Rais! basi ni kwanini tunasema hivi? Hulka ya wafanyabiashara hutumia fursa hizi kwa interest zao binafsi! Na pia itasaidia kupunguza ile bad image na pia nafasi ya Rais kurubuniwa (Imagine kesho inagundulika CMC Automobiles wamekwepa kodi na katika utetezi huyo mhusika anasema pesa ya kodi alitoa msaada wa Ambulance mbili Ikulu! Je Wakubembea atajiuzulu na kashfa hiyo itashughulikiwa vp how tainted will the State House be?)! Guys get it, that is not acceptable only in Tanzania (with the exception to other third World Countries) that happens!

Hapa Dr Mwakyusa anajaribu gari jipya toka WHO
mwakyusa%2Bgari.JPG


Na hapa pikipiki mpya! hamna siasa au mambo binafsi ni ofisi kwa ofisi! naomba Wabunge walione hili na hata kulitungia sheria Ikulu isiwe mahali pa kupokea mayai, vitumbua na mikate toka watu/kampuni binafsi!

Mwakyusa+piki2.JPG




Picha zote kwa hisani ya Faustine baraza blog (
www.drfaustine.blogspot.com)
 
Nimekuwa nikishangazwa na aina hii ya misaada, kuna misaada mingine ni midogo sana kupokewa na mkuu wa nchi na hii mara nyingi hutolewa na watu ama taasisi zenye ukwasi wa maana.

Misaada ya namna hii mara nyimgi huwa na 'conditions' zilizojificha na mara nyingi huwa ni suala la kusamehewa kodi na aina nyingine ya kunufaika na shughuli nzima za serikali hasa zinazohusu manunuzi.

Wakati mwingine inawezekana kabisa kwa wawakilishi wa rais na taasisi zake kupokea vitu vidogo kama hivi.



SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI

 
Nimekuwa nikishangazwa na aina hii ya misaada, kuna misaada mingine ni midogo sana kupokewa na mkuu wa nchi na hii mara nyingi hutolewa na watu ama taasisi zenye ukwasi wa maana.

Misaada ya namna hii mara nyimgi huwa na 'conditions' zilizojificha na mara nyingi huwa ni suala la kusamehewa kodi na aina nyingine ya kunufaika na shughuli nzima za serikali hasa zinazohusu manunuzi.

Wakati mwingine inawezekana kabisa kwa wawakilishi wa rais na taasisi zake kupokea vitu vidogo kama hivi.



SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI


Hapana.

Wakati mwingine kufiwa na mtu umpendaye sana na uliyeishi naye miaka nenda rudi kunaweza kukasababisha vitendo kama vya huyu mzee aliyetoa hizo ambulance kwa heshima na kumbukumbu ya mkewe mpenzi. Lets give him the benefit of doubt please. Angekuwa Manji tungesema ana agenda mpya!
 
Kuna anayetoa misaada na kujitangaza kama Mengi? Kwa kuwa tunachuki za kirangi ndiyo maana tunaona hili ni tatizo. Tuangalie ubora wa misaada yenyewe na siyo rangi ya mutu anayetoa msaada.
 
Kuna anayetoa misaada na kujitangaza kama Mengi? Kwa kuwa tunachuki za kirangi ndiyo maana tunaona hili ni tatizo. Tuangalie ubora wa misaada yenyewe na siyo rangi ya mutu anayetoa msaada.
Mengi hatoi misaada Ikulu hata siku moja huenda Makanisani au Mahospitalini au Misikitini au Mashuleni au Sehemu husika Majimboni! na ndo tunataka hivyo kila mwenye nia njema afanye hivyo na sio kuenda kutoa misaada Ikulu kwani hizi ambulance zitatumika Ikulu au Kikwete kazi yake sasa kupokea misaada! Acha pumba wewe soma hiyo hoja uelewe kilichoandikwa! na kwa taarifa yako hamna anayebaguliwa hiyo ni fact kuwa wengi wa watu wa misaada (kwa Polisi na Ikulu tusishangae na mahakama soon) hii ni hawa Watanzania wenye asili ya Asia na pia other foreign owned companies! sasa kama statement hiyo ni ubaguzi una upungufu wa uelewa! Manji/Mengi akitoa misaada yanga sina tatizo, ila Manji/Mengi huyohuyo akitoa misaada Polisi au Ikulu nitafungua macho na kuuliza kulikoni? Get my point dude
 
Mbona tumeomba misaada ya ambulance nyingine zaidi kama zipo kwa huyu jamaa wa CMC.
Hivi kweli hizi gari mbili mpaka Rais aende kuzipokea? Halafu watoa msaada wanachofanya wanapiga picha na Raisi kisha inakuwa kwenye reception ya ofisi yake kuonyesha jinsi "yeye livyo kuba".
 
...yale ya Mzee Ruksa yanajirudia tena? Hii ni aibu gani kwa taifa letu!
...hana cha kufanya anapokuwa Ikulu, anaishi maisha ya 'Urais wa kufikirika' pasipo 'homework', kisha utamsikia akisema hajua kwanini Watanzania ni masikini.

Mfano ni hii picha hapa chini akiwa na washiriki wa miss East Africa aliowaarika Ikulu kwa chakula na maongezi!! Hata mtoto haihitaji kwenda deep kwamba ni huyuhuyu ambaye juzi ametoka safari ya takribani wiki tatu nje ya nchi, leo anakula soga na mamiss!!
Courtesy of Michuzi Blog said:
Kwa kuwa tunachuki za kirangi ndiyo maana tunaona hili ni tatizo. Tuangalie ubora wa misaada yenyewe na siyo rangi ya mutu anayetoa msaada.
Your ideology is completely irrelevant on this!! The highest stage huyu bwana alitakiwa awakilishe msaada wake ni ofisi ya Waziri wa Afya (wala sio lazima kwa Waziri wa Afya personally). Na hii ingekuwa kwa minajiri ya kuhacha wazi 'allocation' ya misaada hiyo. Otherwise kama angeamua Ambulance ziende Muhimbili/Ocean-road basi angeikabidhi kwa Director husika, or such alike.

Tuhache tabia za kutetea upuuzi kwa kigezo cha 'ubaguzi wa rangi'.
Halafu watoa msaada wanachofanya wanapiga picha na Raisi kisha inakuwa kwenye reception ya ofisi yake kuonyesha jinsi "yeye livyo kuba".
...kesho CMC watapata tenda ya Serikali na tutaanza kuumiza vichwa kama kuna connection na picha iliyotundikwa reception (pengine mkaguzi wa tenda-bodi alishawishika kutoka kwayo).
 
hahahahaahahha
sicheki kufurahia ila ukweli unauma kweli.
sina comment zaidi ya kugonga thenksi kwa aliyeleta post. imenifanya nifikirie mara mbili sana
 
Naombeni kuuliza? Huu mtindo wa wafanyabiashara haswa hawa wenzetu wenye asili ya Kiasia kutaka publicity wanapotoa misaada inanikera! Hebu angalieni hii picha hapa chini ya

JK-Gari.jpg


huyu mhusika wa CMC Automobile anam-pimp Rais wa nchi kama kwenye kile kipindi cha PIMP MY RIDE cha Xhibit na probably baada ya kumkabithi funguo alimvuta koti lake kwa juu na kumwambia you are official pimped Mr Wakubembea!! halafu wa kubembea atakuwa alirudi Ofisini akaning'inia na kujizungusha kitini na kusema thank you CMC Automobiles for pimping my hospitals! Hahahah we got a President here!

JK (Wakubembea) anapokea ambulance mbili toka kwa huyu mhusika ndani ya Ikulu mtumeeee! Asalalalah! na ni kweli serikali hii ya Wakubembea iko pimped kwelikweli na ganstars

Jamani hii ikulu imekuwa sehemu ya kupokelea zawadi sio? yale ya Mzee Ruksa yanajirudia tena? Hii ni aibu gani kwa taifa letu! Tujiulize je thamani ya magari hayo mawili ni nini? Na kwa nini zawadi hizi zisipokelewe na hospitali lets say Ocean Road Hospital au Muhimbili kuna wakuu pale! Ni kwanini napinga huu mwenendo wa Wakubembea kukumbatia watui wenye personal interest na utawala wake! Ikumbukwe hii zawadi inatoka kwa mtu au kampuni binafsi na sio taasisi na hainijii akilini mpk lini tutaendelea kupuuza malalamiko ya wadanganyika juu ya Ikulu kudhaminiwa?

Juzijuzi pia Bwana Mwema alipokea zawadi toka kwa wale wanaojiita CEO Roundtable yaani vitu kama baiskeli, pikipiki, ving'ora, viatu na kofia pia! Sasa tujiulize hawaku-submit na authority yao pia kwa hawa mabwana? Ni serikali gani tuliyonayo inayoshindwa hata kununua viatu vya maafande wetu wakaheshimika katika kuilinda dola? Kodi yetu inaenda wapi? Mimi napinga kusaidia Polisi nakataa kabisa huu mchezo mchafu!! nauhakika leo hii mimi mlala hoi nikienda kuwashitaki jamaa wa CEO Roundtable sitapewa haki! Na kuhusu hizo ambulance, sidhani Ikulu ni mahali pa kupokea zawadi, huku ni kuiaibisha dola kulikokubuhu na kuonekana sawa namna hii, hizo ambulance zingeweza kupelekwa mahospitalini direct zikapokelewa na Mkuu wa hospitali! Bila ya kuanza kuleta picha chafu namna hii, ati Rais apokea ambulance mbili Ikulu na huyo huyo alikataa kwenda kwenye ufunguzi wa Hospitali Selian Arusha ambayo inapunguza makali ya serikali yake kwenye kutekeleza wajibu, where is his priorities?

Kwa wale wanaosema tunamchukia Kikwete naomba waangalie jinsi utaratibu unaokubalika unavyofanyika hapa chini tunaona WHO (an institution inaenda moja kwa moja kutoa misaada kwa wizara husika na hata kama Waziri asingekuwepo wao wasingejali! Kwa vile hawa watu (UN) wamepitia hizi zama za kurubuniwa na makampuni binafsi! Wakaelimika wakaja na Protocol sasa nashangaa unapokuwa na Katibu wa Ikulu na Msemaji wa Ikulu na msururu wa wasaidizi halafu wanashindwa kumshauri huyu Mkwere wetu ku-behave accordingly inatia kinyaa! haiwezekani kila mtu aende kutoa misaada kwa Rais! basi ni kwanini tunasema hivi? Hulka ya wafanyabiashara hutumia fursa hizi kwa interest zao binafsi! Na pia itasaidia kupunguza ile bad image na pia nafasi ya Rais kurubuniwa (Imagine kesho inagundulika CMC Automobiles wamekwepa kodi na katika utetezi huyo mhusika anasema pesa ya kodi alitoa msaada wa Ambulance mbili Ikulu! Je Wakubembea atajiuzulu na kashfa hiyo itashughulikiwa vp how tainted will the State House be?)! Guys get it, that is not acceptable only in Tanzania (with the exception to other third World Countries) that happens!

Hapa Dr Mwakyusa anajaribu gari jipya toka WHO
mwakyusa%2Bgari.JPG


Na hapa pikipiki mpya! hamna siasa au mambo binafsi ni ofisi kwa ofisi! naomba Wabunge walione hili na hata kulitungia sheria Ikulu isiwe mahali pa kupokea mayai, vitumbua na mikate toka watu/kampuni binafsi!

Mwakyusa+piki2.JPG




Picha zote kwa hisani ya Faustine baraza blog (www.drfaustine.blogspot.com)
 
Haya mambo yanatushushia hadhi ya Ikulu ya Rais wetu , mfano juzi baadhi ya watu wakawa wamenin`ginia kwenye viti Ikulu eti wamekuja kujitolea kuchimba visima zanzibar.
Ikulu ni sehemu takatifu msemo wa Nyerere watu wanatakiwa wapaogope.
 
Mengi hatoi misaada Ikulu hata siku moja huenda Makanisani au Mahospitalini au Misikitini au Mashuleni au Sehemu husika Majimboni! na ndo tunataka hivyo kila mwenye nia njema afanye hivyo na sio kuenda kutoa misaada Ikulu kwani hizi ambulance zitatumika Ikulu au Kikwete kazi yake sasa kupokea misaada! Acha pumba wewe soma hiyo hoja uelewe kilichoandikwa! na kwa taarifa yako hamna anayebaguliwa hiyo ni fact kuwa wengi wa watu wa misaada (kwa Polisi na Ikulu tusishangae na mahakama soon) hii ni hawa Watanzania wenye asili ya Asia na pia other foreign owned companies! sasa kama statement hiyo ni ubaguzi una upungufu wa uelewa! Manji/Mengi akitoa misaada yanga sina tatizo, ila Manji/Mengi huyohuyo akitoa misaada Polisi au Ikulu nitafungua macho na kuuliza kulikoni? Get my point dude

Sio kweli. Wakati wa Mwinyi ndio ilikuwa kazi yake hiyo. Mkapa alimbwaga ndio maana tumesahau. Mengi ndio bungwa wa kujitangaza na misaada yake. Anaimbwa na TV zake kama Kim JONG IL. siku hizi hata akienda kujiandiksha anatolewa kwenye TV haha haha haha haha Tanzania jamani
 
Haya mambo yanatushushia hadhi ya Ikulu ya Rais wetu , mfano juzi baadhi ya watu wakawa wamenin`ginia kwenye viti Ikulu eti wamekuja kujitolea kuchimba visima zanzibar.
Ikulu ni sehemu takatifu msemo wa Nyerere watu wanatakiwa wapaogope.

Inauma saaana!!:confused:
 
Hapana.

Wakati mwingine kufiwa na mtu umpendaye sana na uliyeishi naye miaka nenda rudi kunaweza kukasababisha vitendo kama vya huyu mzee aliyetoa hizo ambulance kwa heshima na kumbukumbu ya mkewe mpenzi. Lets give him the benefit of doubt please. Angekuwa Manji tungesema ana agenda mpya!
Natumai hakuna maelezo mengine zaidi ya haya!
 
Sio kweli. Wakati wa Mwinyi ndio ilikuwa kazi yake hiyo. Mkapa alimbwaga ndio maana tumesahau. Mengi ndio bungwa wa kujitangaza na misaada yake. Anaimbwa na TV zake kama Kim JONG IL. siku hizi hata akienda kujiandiksha anatolewa kwenye TV haha haha haha haha Tanzania jamani
Wewe, hapa kuna watu na akili zao wakiongelea mstakabali wa nchi yetu na si ushabiki huyo Mengi akiamua kuweka picha yake siku nzima inakupunguzia nini? ilhali ni TV station yake, nani anakulazimisha kuangalia (tune to another channel)? unakuwa kama yule Mh. wa kufoji vyeti aliyetoa shutuma ati Mengi anatumia TV stations zake kujionyesha yeye zaidi ya Rais na Bunge! Utadhani ni vituo vyake ni public assets (in terms of ownership)! huu ndo upashukuna tunaoongelea ametumwa na wananchi zaidi 40,000 wa jimbo lake lakini anaona atumie uwanja wa Bunge kumuongelea an individual ambaye ni law abiding citizen! Je Mengi hakulipa kodi? Acha ushambenga mkuu discuss issues hapa. Hapo ulipo si ajabu hata hujui mwaka mpya utakula nini! Wenzako watakula mwaka mpya Majorca!
 
Hapana.

Wakati mwingine kufiwa na mtu umpendaye sana na uliyeishi naye miaka nenda rudi kunaweza kukasababisha vitendo kama vya huyu mzee aliyetoa hizo ambulance kwa heshima na kumbukumbu ya mkewe mpenzi. Lets give him the benefit of doubt please. Angekuwa Manji tungesema ana agenda mpya!

Usimtete bure huyu Abdul Hajji hana tofauti na huyo Manji uliyemtaja wote ajenda yao ni moja ya kuinyonya hii nchi!! Wale wa umri mkubwa kidogo , ambao walijaliwa kuwepo nchini Moringe Sokoine alipokuwa waziri mkuu watakumbuka kuwa huyu Abdul Hajji alikuwa mmoja wa wafanyabiashara[akiwemo Jeetu Patel] walioswekwa lupango kwa kuhujumu uchumi!! Sasa jamaa wanaibuka na kujifanya wakarimu [ corporate social responsibility]kwasababu wamepata SOFT target!
 
Haya mambo yanatushushia hadhi ya Ikulu ya Rais wetu , mfano juzi baadhi ya watu wakawa wamenin`ginia kwenye viti Ikulu eti wamekuja kujitolea kuchimba visima zanzibar.
Ikulu ni sehemu takatifu msemo wa Nyerere watu wanatakiwa wapaogope.

Baada ya huyu mfanyabiashara jioni waliingia ma-Miss wa East Africa (... of course kwa lobbying wa organizers ambao ni wafanyabiashara) na waliandaliwa dinner ya kukata na shoka. Palikuwa patakatifu enzi hizo
 
Back
Top Bottom