Rais wetu na safari mfululizo

Tujisenti

JF-Expert Member
May 21, 2008
343
11
Nilikua najiuliza, Rais wetu anavyotembelea nchi mbalimbali bila kupumzika si atachoka sana na kuanguka huko???
 
leo katua cuba, kapokelewa na mama moja, naibu waziri wa mambo ya nje wa cuba!! sio hata waziri, sijui kama kweli ataonana na rais.

macinkus
 
Kila mtu ana specialize katika kitu fulani. Raisi wetu alikua waziri wa mambo ya nje kwa miaka kumi. It's his speciality. It's what he knows to do.Go figure.
 
Nilikua najiuliza, Rais wetu anavyotembelea nchi mbalimbali bila kupumzika si atachoka sana na kuanguka huko???
wewe nani alikuambia kua huko anafanya kazi, hizo ni ziara katika kuburudisha ubongo kwenye mabembea na sasa anaenda CUBA, tunaaambiwa huko kapokelewa na Jimama fulani hivi inaonesha sijui ni Naibu wa WAZIRI WA MAMBO YA NNJE.
 
Mwacheni atembee jamani, huko kote anazurura ili kutafuta misaada ya nchi. Kama mjuavyo kampeni yake ni maisha bora kwa kila mtanzania.
Maisha bora hayatakuja iwapo rais atajibweteka.
 
Mwacheni atembee jamani, huko kote anazurura ili kutafuta misaada ya nchi. Kama mjuavyo kampeni yake ni maisha bora kwa kila mtanzania.
Maisha bora hayatakuja iwapo rais atajibweteka.

Jamaica's gross domestic product (GDP) was estimated at $9.8 billion. The per capita GDP was estimated at $3,700. The annual growth rate of GDP was estimated at 1.1%. The average inflation rate in 2001 was 6.9%.

Read more: Income - Jamaica http://www.nationsencyclopedia.com/Americas/Jamaica-INCOME.html#ixzz0YT6kf9KW

GDP (2008): $18.3 billion.
Average growth rate (2008): 7.1%.
Per capita income (2008): $442.
Natural resources: Hydroelectric potential, coal, iron, gemstones, gold, natural gas, nickel, diamonds, crude oil potential, forest products, wildlife, fisheries.
Agriculture (2008): 27% of GDP. Products--coffee, cotton, tea, tobacco, cloves, sisal, cashew nuts, maize, livestock, sugar cane, paddy, wheat, pyrethrum.
Industry/manufacturing (2008): 22.7% of GDP. Types--textiles, agro-processing, light manufacturing, construction, steel, aluminum, paints, cement, cooking oil, beer, mineral water and soft drinks.
Trade (2008): Exports--$2.49 billion (merchandise exports, 2008): coffee, cotton, tea, sisal, cashew nuts, tobacco, cut flowers, seaweed, cloves, fish and fish products, minerals (diamonds, gold, and gemstones), manufactured goods, horticultural products; services (tourism services, communication, construction, insurance, financial, computer, information, government, royalties, personal and other businesses).

hakuna chakuomba Jamaika, angalia GDP, NI UMASIKINI jAMAIKA. TUNA RESOURCES NYINGI KULIKO jAMAIKA.
 
Diary of a President- November 2009


1 November Dar es Salaam-Weekend


2 November Dar es Salaam

3 November Dar es Salaam

4 November Dar es Salaam

5 November Dar es Salaam

6 November Dar es Salaam

7 November Dar es Salaam-Weekend

8 November Dar es Salaam-Weekend

9 November Dar es Salaam

10 November Cairo, Egypt

11 November Cairo, Egypt

12 November Cairo, Egypt

13 November Dar es Salaam

14 November Dar es Salaam-Weekend

15 November Rome, Italy-Weekend

16 November Rome, Italy

17 November Rome, Italy

18 November Rome, Italy

19 November Rome, Italy

20 November Dar es Salaam

21 November Arusha-Weekend

22 November Jamaica-Weekend

23 November Jamaica

24 November Jamaica

25 November Jamaica

26 November Trinidad and Tobago

27 November Trinidad and Tobago

28 November Trinidad and Tobago-Weekend

29 November Cuba-Weekend

30 November Cuba

Source: http://drfaustine.blogspot.com/2009/11/diary-of-president.html
 
Hii kali. siku 20 safarini, siku 10 yuko Ikulu!!! files zinamfuata pale anapokuwa.

nadhani ndio maana ilikuwa lazima tununue Jet ya rais hata kama itatulazimu kula majani. Akina Mramba walikuwa wanajua atakayefuata baada ya Che Mkapa atakuwa nani? walijua wasifu wake, kuwa atapiga trip nyingi sana. kwa hiyo ilikuwa muhimu kupata dege ambalo litakuwa comanding office kama AIR FORCE ONE kwa hiyo hamna shida mahali popote kazi inaenda.
 
UNGO wake bado hauja-clear kwa waganga wa jadi tu, au ndio wanau-customize kwani hata hiyo Jet mpya naona inamchelewesha.

This is just ridiculous. When does this guy sit down to know what the country needs. I thought he said that the world is experiencing financial problems. Where does he get all this money to roam around the world?

Did he even try to cut down his travel budget and spend the money for something useful for his people?

Can foreign minister do whatever he is trying to accomplish when he is abroad?

Simple logic, simple common sense. Who are the losers advising this guy?

What the he............................................ll is going on with my country?

These people need to answer these questions, and I swear to GOD they will have to answer as long as they are alive. I will not care if they are 90yrs old or they are VIKONGWE because this is too much now. Even a standard three pupil will not do MADUDU kama haya.
 
JK is running away from taking concrete action on teething problems such as action on Richmond report, Sophia Simba's saga, the scandal of selling of ammunition to rebels in the DRC, etc. The leadership vacuum in Tanzania is very clear.
 
JK is running away from taking concrete action on teething problems such as action on Richmond report, Sophia Simba's saga, the scandal of selling of ammunition to rebels in the DRC, etc. The leadership vacuum in Tanzania is very clear.
Wasp!
I have a simple answer for the issue ambayo nyie mnaivalia bango.
Huyu jamaa anakwenda kurusha roho kwani mambo ya hapa nyumbani yamemshinda. Rais hawezi kutembelea visiwa vya carribean kwa muda wa siku kumi. Just do a simple standard four arithmetics!! Garama anayotumia na hao wapembe nuksi ni over a million dollar na huku anaomba Jamaica wampe msaada ambapo eneo Loliondo alilowapa wapenzi wake kutoka uarabuni ni kubwa kuliko hiyo Jamaica. This man needs to go to Mirembe Hospital akapimwe pamoja na Sophia Simba kwa sababu haiingii akilini. Hivi Bernad Membe alimpatia uwaziri afanye kazi gani kama kila kuikicha yeye ni Kiguu na njia utafikiri katoka kigurunyembe!!!!!
 
Wasp!
I have a simple answer for the issue ambayo nyie mnaivalia bango.
Huyu jamaa anakwenda kurusha roho kwani mambo ya hapa nyumbani yamemshinda. Rais hawezi kutembelea visiwa vya carribean kwa muda wa siku kumi. Just do a simple standard four arithmetics!! Garama anayotumia na hao wapembe nuksi ni over a million dollar na huku anaomba Jamaica wampe msaada ambapo eneo Loliondo alilowapa wapenzi wake kutoka uarabuni ni kubwa kuliko hiyo Jamaica. This man needs to go to Mirembe Hospital akapimwe pamoja na Sophia Simba kwa sababu haiingii akilini. Hivi Bernad Membe alimpatia uwaziri afanye kazi gani kama kila kuikicha yeye ni Kiguu na njia utafikiri katoka kigurunyembe!!!!!

Membe aliahidi kwa makeke zaidi ya mwaka sasa kuwa atatoa faida inayopatikana kutokana na safari za JK, lakini naona kaingia mitini.
 
the good thing or bad ni kuwa hata huko aendako hapati mapokezi ya kitaifa, am sure wanauliza nani ana nafasi jamani ampokee jamaa wa tz, tiii anakuja kimamama naibu waziri wa wizara!imagine, anaenda kuwasumbua watu walioko busy, sijui halioni hilo!cost za safari ni kama kurun wizara ya mifugo na uvuvi. Cuba ni jirani na USA i believe lazma atue kidogo! kweli tunae Vasco Dagama Mtanzania!
 
kila mtu ana maoni ya kusema vile anavyojifiki
kwa mie naona kama huyu mheshimiwa kapata nafasi ya kuzunguka anataka amalize dunia yote ile aweke history kwa watoto na wajukuu na si lolote
Kwa mfano huko Jamaica ni msaada gani anategemea ataupata
Nini kazi ya waziri wa mambo ya nje ??????????????????
Ndo maana anaishiwa nguvu majukwaani hapumziki
 
I think its a high time for us to do something, too much have been said but very very little have been done so far!! To make it more worse, the man is running for presidency next year!! This is awfully ridiculous!!

Can someone tell us who are the chief advisors of Mr. Prezident?

Do they really know what is at stake now??
 
kila mtu ana maoni ya kusema vile anavyojifiki
kwa mie naona kama huyu mheshimiwa kapata nafasi ya kuzunguka anataka amalize dunia yote ile aweke history kwa watoto na wajukuu na si lolote
Kwa mfano huko Jamaica ni msaada gani anategemea ataupata
Nini kazi ya waziri wa mambo ya nje ??????????????????
Ndo maana anaishiwa nguvu majukwaani hapumziki

Unafikiri anaishiwa nguvu kwa kuwa hapumziki kufanya nini tofauti na safari? Kuishiwa nguvu kunatokana na mambo mengi mojawapo ni starehe za kupita kiasi....
 
Back
Top Bottom