Na Mwandishi wetu, Mwanza
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Isamilo wilayani
Nyamagana mkoani Mwanza, Bahati Stepahano (50) amefariki dunia baada
ya kuvamiwa ofisini kwake na kuchomwa...
"Tumeendelea kuboresha Sheria ya Gharama za Uchaguzi, lakini, lile la takrima ni gumu. Mfano katika mkoa wa Kilimanjaro huwezi kuwaita wazee ukazungumza nao bila kitochi," alisema Kikwete...
Limeibuka wimbi la mauaji ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mazingira yanayoacha shaka kwamba huenda kuna mikono ya kisiasa katika vitendo hivyo.
Wakati wakazi wa Jiji la Mwanza wapo...
"....................Takrima iliasisiwa na serikali ya Mkapa. Baadhi ya wenzetu wakadhani JK aliye chaguo la Mungu hataweza kuivumilia; ataifuta. Mahakama Kuu ilipoifuta, mashabiki wake...
ASEMA WAKATI WAKE RUSHWA HAIKUWEPO
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, mzee Ali Hassani Mwinyi, maarufu kama Mzee Ruksa ameshangaa kukithiri kwa rushwa katika utawala wa awamu ya nne ikilinganishwa...
Hatutaki Tena Hekaya za Alinacha
Mwezi wa kumi (10) Watanzania wenye umri usiopungua miaka kumi na nane (18) watapiga kura kuchaguwa Rais na wabunge kupitia vyama vyao wanavyo viamini kuwa...
Mauaji ya kinyama sasa yaandama makada CCM
Na Waandishi wetu, NIPASHE
Limeibuka wimbi la mauaji ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mazingira yanayoacha shaka kwamba huenda kuna...
Awali ya yote naomba nitumie nafasi hii kuwasalimu nyote Wanajamii Forum na Kuunga Mkono Mtazamo,itikani, Imani, na Hoja mbali mbali mnazozitoa kuhusiana na Mwelekeo wa Uchaguzi wa Tanzania...
Na Elizabeth Suleyman
MCHUNGAJI wa Kanisa la Tanzania Assembles of God (Tag) Macmilan Lyimo
MCHUNGAJI wa Kanisa la Tanzania Assembles of God (Tag), lililoko eneo la Mabibo jijini Dar es...
We differ in our views when it comes to the politics of our country but, we're going to elect new leaders on all levels of the gov. What do you think we should consider in this coming election...
CHAMA Cha Jamii (CCJ), jana kilishindwa kuwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, maombi ya usajili wa kudumu na kitendo hicho sasa kitafanyika mapema wiki ijayo.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa...
Whose Slave Plantation is it Anyway? A Critical Reading of Wole Soyinkas Distinguished Nyerere Lecture on New Imperialisms
My observation which I fully expect will be strongly...
Tulimshuhudia Kikwete akiwakaripia wafanyakazi (TUCTA) pamoja na vitisho vingi dhidi yao na kuhitimisha kwamba hazihitaji kura zao (kama vile tayari ameshachaguliwa kuwa mgombea wa urais na chama...
Ni muda mrefu sasa uwakilishi wa wananchi hasa bungeni hauna mwongozo (uregulated). Raia mmoja anaweza kuwa mbunge kwa zaidi ya miongo minne. Ni ukweli usiopingika kuwa mwakilishi wa wananchi...
MWENYEKITI wa UVCCM, Hamad Masauni Yussuf, anadaiwa kughushi cheti cha kuzaliwa kwa lengo la kudanganya umri ili aweze kupata nafasi ya uongozi.
Anamiliki cheti cha kuzaliwa bandia chenye namba...
WAHISANI wamepunguza mchango wao kwenye bajeti ya serikali kwa mwaka 2010/2011 kwa sababu mbalimbali, ikiwamo kasi ndogo ya serikali katika kutekeleza mageuzi katika sekta za umma.
Taarifa ya...
RAIS Jakaya Kikwete amesema utekelezaji wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi hasa katika kipengele kinachokataza takrima, ni mgumu.
Rais Kikwete alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na viongozi wa...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku cheti maalumu Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo kwa kutambua mchango wake katika kufanikisha kwa ufanisi mkubwa kufanyika kwa mkutano wa World Economic...
Yadaiwa ni mkono wa mtu
Aliugua gonjwa la ajabu
Alikataa kubadili nia hiyo
Jiji la Mwanza lazizima
Mwanamke aliyekuwa ametangaza nia ya kuomba uteuzi wa kugombea ubunge katika jimbo la...