Tulimshuhudia Kikwete akiwakaripia wafanyakazi (TUCTA) pamoja na vitisho vingi dhidi yao na kuhitimisha kwamba hazihitaji kura zao (kama vile tayari ameshachaguliwa kuwa mgombea wa urais na chama chake).
Majuzi tumewasikia wahisani nao wakisitisha kuchangia katika bajeti yetu, ingekuwa vizuri Kikwete akawaita tena "wazee wa CCM - D'salaam)" akawahutubia na kuwakaripia na kuwatisha wahisani kuwa atafunga balozi zao na ahitimishe kwamba hahitaji pesa zao waondoke na atakayekaidi vyombo vya dola vitamshughulikia.
"Moringe wote ni wamasai lakini sio kila mmasai ni Moringe"
Majuzi tumewasikia wahisani nao wakisitisha kuchangia katika bajeti yetu, ingekuwa vizuri Kikwete akawaita tena "wazee wa CCM - D'salaam)" akawahutubia na kuwakaripia na kuwatisha wahisani kuwa atafunga balozi zao na ahitimishe kwamba hahitaji pesa zao waondoke na atakayekaidi vyombo vya dola vitamshughulikia.
"Moringe wote ni wamasai lakini sio kila mmasai ni Moringe"