Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
"....................Takrima iliasisiwa na serikali ya Mkapa. Baadhi ya wenzetu wakadhani JK aliye chaguo la Mungu hataweza kuivumilia; ataifuta. Mahakama Kuu ilipoifuta, mashabiki wake wakaeneza propaganda kwamba, imefutwa kwa amri na matakwa ya JK. Miaka minne baadaye, sasa JK mwenyewe ametangaza urafiki na takrima.
Pale pale, akavunja sheria yake mwenyewe; na akaenda mbali zaidi kupinga uamuzi wa mahakama kuu akatetea takrima.
Kitendawili ni hiki: mahakama imelaani takrima. Rais anasifia takrima. Ni nani mpuuzi kati ya hawa wawili?..............................."
Ngurumo
Tanzania Daima16/05/2010
Pale pale, akavunja sheria yake mwenyewe; na akaenda mbali zaidi kupinga uamuzi wa mahakama kuu akatetea takrima.
Kitendawili ni hiki: mahakama imelaani takrima. Rais anasifia takrima. Ni nani mpuuzi kati ya hawa wawili?..............................."
Ngurumo
Tanzania Daima16/05/2010