Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Raia Mwema: Slaa awataka Duni, Hamad wa CUF
Baada ya mgombvea urais kupitia Chadema, Dk W. Slaa kubadili upepo wa kisiasa nchini kuelekjea uchaguzi mkuu mwaka huu, chama hicho sasa kimo katika mkakati mahsusi wa kumpata mgombea mwenza mwenye ushawishi mkubwa kuroka kutoka CUF, Raia Mwema imethibitishiwa.
Habari za uhakika kutoka Chadema na CUF zimethibitisha kwamba mazungumzo yasiyo rasmi yamekwisha kuanza pamoja na kuwa tayari m,ajina mazito ya wanasiasa kutoka Zanzibar yameanza kutajwa kuombwa kuwa pamoja na Dk Slaa katika uchaguzi huo wa Oltoba 31.
Wanaotajwa ni pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Juma Duni Haji na aliyekuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed, ambao wote ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za Visiwani na Bara.
Duni ambaye tayari CUF imemteua kuwa mgombea mwenza wa Preof Ibrahim Lipumba, anayebeba kwa mara ya nne bendera ya chama hicho katika kuwania urais, anatajwa kutakiwa na Chadema kutokana na ushawishi wake ndani ya siasa za Zanzibar na hata Bara.
Kwa mujibu wa habari hizo, kukubali kwa Duni kutategemea zaidi msimamo wa chama chake katika kumuunga mkono Dl Slaa, hatua ambayo imeelezwa kuanza kujadiliwa katika vikao visivyo rasmi kabla ya kuingia katika vikao rasmi vya vyamna hivyo ili hatimaye kufikia uamuzi.
Mwaka 200 Chadema walimuunga mkono mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba, ambako katika mikutano yake nchi nzima alisimama kuwapigia debe wagombea wa Chadema na CUF huku mitandao ya vyama hivyo ikitumika katika harakati za kampeni hizo, hali ambayo inaelezwa kupendekezwa kuwapo katika katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa upande wa Hamad Rashid, anatajwa kama ni mtu aliye karibu na Dk Slaa wakiwa wamefanya kazi kwa muda mrefu bungeni katika ofisi ya Kambi ya Upinzani, na anatajwa kuwa mmoja wa wanasiasa waliomshawishi mwanasiasa huyo wa Chadema kuwania urais.
.Habari zaidi katika Raia Mwema ya leo mwenye full soft copy yake atuwekee tafadhali.
My take:
This story is too good to be true, though it has certain convincing elements. Can that be possible?
Baada ya mgombvea urais kupitia Chadema, Dk W. Slaa kubadili upepo wa kisiasa nchini kuelekjea uchaguzi mkuu mwaka huu, chama hicho sasa kimo katika mkakati mahsusi wa kumpata mgombea mwenza mwenye ushawishi mkubwa kuroka kutoka CUF, Raia Mwema imethibitishiwa.
Habari za uhakika kutoka Chadema na CUF zimethibitisha kwamba mazungumzo yasiyo rasmi yamekwisha kuanza pamoja na kuwa tayari m,ajina mazito ya wanasiasa kutoka Zanzibar yameanza kutajwa kuombwa kuwa pamoja na Dk Slaa katika uchaguzi huo wa Oltoba 31.
Wanaotajwa ni pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Juma Duni Haji na aliyekuwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed, ambao wote ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za Visiwani na Bara.
Duni ambaye tayari CUF imemteua kuwa mgombea mwenza wa Preof Ibrahim Lipumba, anayebeba kwa mara ya nne bendera ya chama hicho katika kuwania urais, anatajwa kutakiwa na Chadema kutokana na ushawishi wake ndani ya siasa za Zanzibar na hata Bara.
Kwa mujibu wa habari hizo, kukubali kwa Duni kutategemea zaidi msimamo wa chama chake katika kumuunga mkono Dl Slaa, hatua ambayo imeelezwa kuanza kujadiliwa katika vikao visivyo rasmi kabla ya kuingia katika vikao rasmi vya vyamna hivyo ili hatimaye kufikia uamuzi.
Mwaka 200 Chadema walimuunga mkono mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba, ambako katika mikutano yake nchi nzima alisimama kuwapigia debe wagombea wa Chadema na CUF huku mitandao ya vyama hivyo ikitumika katika harakati za kampeni hizo, hali ambayo inaelezwa kupendekezwa kuwapo katika katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa upande wa Hamad Rashid, anatajwa kama ni mtu aliye karibu na Dk Slaa wakiwa wamefanya kazi kwa muda mrefu bungeni katika ofisi ya Kambi ya Upinzani, na anatajwa kuwa mmoja wa wanasiasa waliomshawishi mwanasiasa huyo wa Chadema kuwania urais.
.Habari zaidi katika Raia Mwema ya leo mwenye full soft copy yake atuwekee tafadhali.
My take:
This story is too good to be true, though it has certain convincing elements. Can that be possible?