Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Kwa walioangalia TBC1 taarifa ya habari inaonekana TAKUKURU wameamua kudili na CCM....
Huko iringa mwandishi wa TBC1 anasema Mh Mungai na Bw Frank Mwakalebela wamehojiwa baada ya kukutwa wakigawa cash live hadharani..habari zaidi zinasema kwa upande wa Mwakalebela alikuwa kwenye moja ya guest house ndipo walipowafata lakini bahati mbaya wapambe waliokuwa na hela waliruka ukuta na kuingia mitini.....na kubakia na baadhi ya wengine.
Hakika inawezekana hawa jamaa tunawasifia lakini kwa mtindo huu waanaonekana wanafanya hivi ama kwa kujulikana wako kazini nikimaanisha inawezekana hakuna hata kesi moja watakayoshinda kwa style hii... Kama mmemsoma Mama Sitta amesema hakuna aliyemkuta anagawa hela. Kumkuta mtu na hela na bahasha sio dili akikawambia alikuwa anapanga kutoa kadi za mwaliko utasemaje?
Hawa watu wawe makini wasijilazimishe kuwa "PWEZA" wakati hata harufu yake hawaijui wataishia kuonekana wapuuzi mbele ya watanzania, tusubiri
Huko iringa mwandishi wa TBC1 anasema Mh Mungai na Bw Frank Mwakalebela wamehojiwa baada ya kukutwa wakigawa cash live hadharani..habari zaidi zinasema kwa upande wa Mwakalebela alikuwa kwenye moja ya guest house ndipo walipowafata lakini bahati mbaya wapambe waliokuwa na hela waliruka ukuta na kuingia mitini.....na kubakia na baadhi ya wengine.
Hakika inawezekana hawa jamaa tunawasifia lakini kwa mtindo huu waanaonekana wanafanya hivi ama kwa kujulikana wako kazini nikimaanisha inawezekana hakuna hata kesi moja watakayoshinda kwa style hii... Kama mmemsoma Mama Sitta amesema hakuna aliyemkuta anagawa hela. Kumkuta mtu na hela na bahasha sio dili akikawambia alikuwa anapanga kutoa kadi za mwaliko utasemaje?
Hawa watu wawe makini wasijilazimishe kuwa "PWEZA" wakati hata harufu yake hawaijui wataishia kuonekana wapuuzi mbele ya watanzania, tusubiri