Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,189
- 79,421
Jamani kama vyombo vya habari kama issamichuzi.blogspot.com, TBC na Star TV havitaki kuleta habari; kwanini website ya Chadme (i.e. Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)) haiwi ikiweka habari mpya kama safari za kutafuta wadhamini za Slaa? hivi kwa mwendo huu mwamko utatoka wapi? Tunataka kuona yanayojiri sasa yakiwekwa ili tujue ni ngapi tuchange si unajua wengineo ni doubting Thomas mpk tuone yanayojiri?