Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Nimefuatilia kwa karibu sanani vyombo vingapi viliandika kuhusu Dr. Slaa kule Arusha na jimboni kwake juzi ilee, lakini ukweli ni kwamba ukiacha kwa upande wa TV stations; Channel Ten na ITV hawa wajumbe wengine kama TBC hawakuonyesha kabsaa, nikasubiria niione siku yake ya pili labda walikuwa wanafanyia editing, wapi!!!
Wadau, hii ni kampeni au ni kwamba TBC na baadhi ya magazeti hawana wawakilishi kule Karatu na Arusha??
Nisaidieani
Wadau, hii ni kampeni au ni kwamba TBC na baadhi ya magazeti hawana wawakilishi kule Karatu na Arusha??
Nisaidieani