Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna tetesi kwamba Mgombea ubunge Jimbo la Rungwe Mashariki, Prof Mark Mwandosya amewekewa pingamizi! Sijui linahusu nini na nani amemwekea, mwenye habari atujulishe, pls!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nguguni zangu kulikuwa na joto na fukuto kali kutoka kwa waislamu kuhusu mahakama ya kadhi na waliishatangaza kutokipigia kura chama cha mapinduzi ccm kwa sababu tu waliondoa mipango hiyo kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika kile kinachoonekana ni kujipanga dhidi ya uwezekano wowote wa kuugua ghafla au kupata ajali kwa viongozi au makada wake, msafara wa kampeni za mgombea huyo umekuwa ukiongozana na magari...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Pata ratiba nzima ya kampeni za CHADEMA fuatilia kwenye attachment hii hapa chini
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KWENYE TOLEO LA LEO LA GAZETI LA MTANZANIA LINALOMILIKIWA NA KAMPUNI ILIYO CHINI YA ROSTAM IMEJARIBU KUGUSA MAISHA BINAFSI YA NDOA YA DR SLAA, KIUJUMLA LENGO LA HABARI NI KUMDHARIRISHA DR SLAA...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Makala ya Bw Deodatus Balile katika gazeti la Mtanzania toleo no 0856-5678 lenye kichwa cha habari "Dk Slaa avunja ndoa" imenishangaza sana. Imenishangaza kwa sababu kadhaa, kwanza, mtu kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WAPIGA KURA ZAIDI YA MILIONI MOJA NA NUSU WAMEGUNDULIKA KUWA NA KASORO KWA HIYO HAWATAPIGA KURA,TUIULIZE HII NEC YA CCM,HAO WAPIGA KURA WENYE KASORO NI WA MAJIMBO GANI?ISIJE IKAWA JANJA YA NEC...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
[/ATTACH]
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dk Slaa: Ni gharama kubwa kuiacha CCM iongoze nchi Send to a friend Tuesday, 24 August 2010 22:55 0diggsdigg Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Wilbroad Slaa Elias Msuya MGOMBEA urais kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna hypothesis ambayo mwandishi Jenerali Ulimwengu ameiweka kwenye gazeti la The East African toleo la wiki hii, kuwa nchi ndio inauzwa, hela yako tu.Ukiwa na hela ya kutosha unapata udiwani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa wana jamii wenzangu, ktk utafiti wangu usio rasmi, nimeona kuwa kiujumla wanawake hawapendani, wanaoneana wivu usio wa lazima, wanatumia muda mwingi kudidimizana, hawatakiani yaliyo mema...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Mwandishi Wa Risasi Wakati Katibu wa NEC ya CCM, Uchumi na Fedha, Amos Gabriel Makalla akitarajiwa kuzindua kampeni zake kwa kishindo Agosti 29, 2010 (Jumapili ijayo), Mzumbe, Mvomero, mke...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi CHADEMA wamejiandaaje kuhusiana na kutengeneza matangazo mafupi mafupi ya kampeni ambayo yatarushwa na vituo vya televisheni na redio? Ningependa kujua kama kuna wanaojua.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jenerali Ulimwengu Angurumaa nakusema:Sasa ni wakati wa Kasi zaidi,Hiyo kasi ya kwenda wapi Wakati tayari tumepoteza Mwelekeo Jenerali Ulimwengu Nimekuta ndio mazungumzo ya Jenerali Ulimwengu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Oktoba ndiyo hiyo ina karibia na baada ya takribani miezi miwili Tanzania ina piga kura. Tofauti ni kwamba huu siyo uchaguzi wa kawaida. Hapana! Tuna chama kimoja chenye nguvu zinazo pungua lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KWENYE GAZETI LA TZ DAIMA LA LEO UKURASA WA MBELE KUNA PICHA YA GARI LA WAGONJWA LA HOSPITALI YA BUGANDO LINALODAIWA KUSINDIKIZA MSAFARA WA KAMPENI ZA JK,JAMANI THIS IS TOO MUCH,HAWA CCM...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hili ni swali GUMU zaidi kupata kuulizwa katika historia ya Tanzania. SWALI: Taja mambo matatu(3) tu ya maendeleo ambayo Serikali ya JK imeweza kufanya tangu iingie madarakani miaka mitano...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wajamane. kundi la waandishi wapatao 9 walipo kwenye msafara wa JK katika mikoa ya Kanda ya ziwa hali zao ni mbaya kifedha Bw Muhingo Rweyemamu aliye na fungu la kuwapatia waandishi hao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Revealed: Greedy leaders steal millions in fertiliser subsidy By Gerald Kitabu 22nd August 2010 When Situmai Ramadhani Rajabu (36), a resident of Kirando Ward in Nkansi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…