The Golden Mean
Member
- Sep 15, 2008
- 54
- 0
Last edited by a moderator:
Una bore kukosoa kila kitu. Hiyo ni spoken language ambayo mara nyingi unaitazama kwa kuangalia sentence nzima ni sio phrase moja moja.Lol...people "asking for money to eat"....
Do people eat money?
Halafu eeeh eeeh eeeeh nyiiiingi....
Yawning.......
Una bore kukosoa kila kitu. Hiyo ni spoken language ambayo mara nyingi unaitazama kwa kuangalia sentence nzima ni sio phrase moja moja.
Hongera Zitto kwa interview nzuri na mafanikio mema jimboni kwako.
Mheshimiwa zitto nimejaribu kumsikiliza lakini mbona hajanivutia uongeaji wake?
au lugha ya kigeni inanipiga chenga? :confused2:
2:30
"First of all I dont believe that we should elect our leaders on age reasons, my point is the parliament must represent the generations, the country, and in Tanzania more than 70% of Tanzanians are below the age of 29, and currently there is no single MP who is below 29..."
hakupewa maswali mwanzo akajua ataulizwa nini akajitayarisha?
Hata kama alipewa hawezi kukariri kila jibu katika Kiingereza safi. Lakini kajitahidi. Kuna wakati nilimsikiaga Ayoub Kimbau akiongea Kiingereza...ebana eeeh hadi nikawa namwonea huruma.
Kwa hiyo Zitto ni mara nyingi zaidi bora kuliko Watanzania wengi.
Na haijalishi sana. kiingereza si lugha yetu. Ila kwa ujumla Watanzania lugha hatujui kwa sababu hata Kiswahili chenyewe kinatupiga chenga wengi sana.
Hata kama alipewa hawezi kukariri kila jibu katika Kiingereza safi. Lakini kajitahidi. Kuna wakati nilimsikiaga Ayoub Kimbau akiongea Kiingereza...ebana eeeh hadi nikawa namwonea huruma.
Kwa hiyo Zitto ni mara nyingi zaidi bora kuliko Watanzania wengi.
Na haijalishi sana. kiingereza si lugha yetu. Ila kwa ujumla Watanzania lugha hatujui kwa sababu hata Kiswahili chenyewe kinatupiga chenga wengi sana.
Huyo alishanunuliwa siku nyingi mno!! Poleni Chadema, msimtegemee huyu, atawapoteza na ameshawapoteza. Njaa kubwa sana haina uzalendo!!
mie sijajali matumizi ya lugha. ..................nimejali zaidi kuwa imekosa mvuto, haikupi shauku ya kutaka kumsikiliza.
na ningependa ajitayarishe sio kwa kukariri, ila kwa kupanga points, sio hapo hapo anasema wasipigiwe kura kwa umri, mara wapigiwe.
angepanga points zake vizuri ujumbe ungefika bila ya mikwaruzo nafikiri.
:welcome:nashangaa wabongo interview za nje waingereza wenyewe na lugha yao huwa hawaizungumzi kwa ufasaha sisi tumekalia majungu tutakufa na majungu
Mimi sijamshikia bango kwa kiingereza, nimeongelea logical consistency hapo juu.Una la kusema kuhusu hilo ?
Umei delete post uliyomshikia bango kwa kiingereza....lol
my opinionmy own opinions
I am entitled to my own opinions as you are to yours.