Makala ya Bw Deodatus Balile katika gazeti la Mtanzania toleo no 0856-5678 lenye kichwa cha habari "Dk Slaa avunja ndoa" imenishangaza sana. Imenishangaza kwa sababu kadhaa, kwanza, mtu kama Balile, ambaye ana kadigrii ka uzamili bado hana upeo wa kujua kuna maisha binafsi ya mtu, ambayo kuyaingilia ni sawa na kuvaa chupi ya mtu? Ndio, public figures wanasema hawana maisha binafsi lakini si kweli... Unapoanza kudodosa mtu kwa kutumia gazeti lako, na mwingine akitumia gazeti lake kudodosa mwingine na mwingine je, tutapona kweli...
Wagombea wetu wakuu wameanza kampeni za kistaarabu na kiungwana sana, kuliko wakati wowote katika historia ya vyama vingi. Huyu Balile asitupeleke huko.. Au ndo anataka naye kutoka kwa uchaguzi wa mwaka huu kama wenzie waleeeeee waliotokea kwa uchaguzi wa 2005? Balile kama kweli una hako kashahada ka uzamili, unapaswa kujua kuna njia nyingi za kutokea...
Unakumbuka makala yako ile ukiwa Tanzania Daima ukijikomboka kwa Waziri Membe? Jikumbushe
Makala -Membe; fursa hii tusiipoteze
Ile haikukutoa sasa umeanza na uchaguzi wa mwaka huu? Mimi sishabikii mtu au chama chochote, lakini ni vyema waandishi wakawasaidia wapiga kura kujua changamoto zao na aina ya wagombea wanaotakiwa katika maeneo yao? Kama alivyosema Kardinali Pengo, kuwa Mapadri wake wasisaidie wanasiasa wapumbavu, na mimi nasema, waandishi wapumbavu wasiwavuruge wananchi.
Pili kusema kuwa utakutana na Dr Slaa Uraiani, pia unaonyesha kukosa upeo wa kufikiri kama kweli una hiyo shahada ya uzamili. Kitendo cha Dr slaa kuingia - aishinde au asishinde ni chachu kubwa na nzito katika uchaguzi wa mwaka huu. Hatungependa uchaguzi wa rubber stamp. unaona jasho wanalotoa wenzetu sasa... hiyo ndiyo demokrasia... na hapo ndipo dr slaa na chama chake walipoonyesha kuwa maslahi ya nchi yapo mbele ya maslahi binafsi daima. kwa watanzania na wanademokrasia hiyo ni zawadi ya pekee.... Any other issue ni personal life..... Tukiamua kupekuana hakuna atakayetembea tena barabarani. Usitupeleke huko... kwa maslahi yako binafsi.
epuka kupandia ngazi isiyo yako....
Wagombea wetu wakuu wameanza kampeni za kistaarabu na kiungwana sana, kuliko wakati wowote katika historia ya vyama vingi. Huyu Balile asitupeleke huko.. Au ndo anataka naye kutoka kwa uchaguzi wa mwaka huu kama wenzie waleeeeee waliotokea kwa uchaguzi wa 2005? Balile kama kweli una hako kashahada ka uzamili, unapaswa kujua kuna njia nyingi za kutokea...
Unakumbuka makala yako ile ukiwa Tanzania Daima ukijikomboka kwa Waziri Membe? Jikumbushe
Makala -Membe; fursa hii tusiipoteze
Ile haikukutoa sasa umeanza na uchaguzi wa mwaka huu? Mimi sishabikii mtu au chama chochote, lakini ni vyema waandishi wakawasaidia wapiga kura kujua changamoto zao na aina ya wagombea wanaotakiwa katika maeneo yao? Kama alivyosema Kardinali Pengo, kuwa Mapadri wake wasisaidie wanasiasa wapumbavu, na mimi nasema, waandishi wapumbavu wasiwavuruge wananchi.
Pili kusema kuwa utakutana na Dr Slaa Uraiani, pia unaonyesha kukosa upeo wa kufikiri kama kweli una hiyo shahada ya uzamili. Kitendo cha Dr slaa kuingia - aishinde au asishinde ni chachu kubwa na nzito katika uchaguzi wa mwaka huu. Hatungependa uchaguzi wa rubber stamp. unaona jasho wanalotoa wenzetu sasa... hiyo ndiyo demokrasia... na hapo ndipo dr slaa na chama chake walipoonyesha kuwa maslahi ya nchi yapo mbele ya maslahi binafsi daima. kwa watanzania na wanademokrasia hiyo ni zawadi ya pekee.... Any other issue ni personal life..... Tukiamua kupekuana hakuna atakayetembea tena barabarani. Usitupeleke huko... kwa maslahi yako binafsi.
epuka kupandia ngazi isiyo yako....