Elections 2010 Uhuni wa NEC

urasa

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
434
2
WAPIGA KURA ZAIDI YA MILIONI MOJA NA NUSU WAMEGUNDULIKA KUWA NA KASORO KWA HIYO HAWATAPIGA KURA,TUIULIZE HII NEC YA CCM,HAO WAPIGA KURA WENYE KASORO NI WA MAJIMBO GANI?ISIJE IKAWA JANJA YA NEC KUANDAA KURA KWA CCM,NA PENGINE WAKATOKA MAENEO AMBAYO CCM NI NGUMU KUPATA USHINDI:eek2:
 
Ni kweli kabisa NEC au sijui ndio hii tume ya Uchaguzi ya Taifa na matawi yote ni wabaya sana sana .

Kama utafatilia utaona kumejitokeza uwekaji pingamizi na uwekaji huu unatumika katika kuisafishia njia CCM kwa pale ambapo wana wasiwasi wa ushindi ,hivyo huwaengua wapinzani kwa kutumia pingamizi, mtindo uliotumika safari hii ni kuihakikishia CCM inapata ushindi wa chee mapema ,usitegemee kuwa mgombea wa CCM ataondolewa kwa kutumia pingamizi ,hata pingamizi hilo liwe na uwazi kiasi gani,si tumeona wameweza kuwalinda mafisadi watashindwa kwa wagombea ?? Ila wapinzani hata kama pingamizi halina kichwa wala miguu litatumika kikamilifu ili kumuondoa au kuwaondoa wapinzani ,NEC (Tume ya uchaguzi) inatumika kuinyanyua ccm. Ni uhuni tu .
 
Ni kweli kabisa NEC au sijui ndio hii tume ya Uchaguzi ya Taifa na matawi yote ni wabaya sana sana .

Kama utafatilia utaona kumejitokeza uwekaji pingamizi na uwekaji huu unatumika katika kuisafishia njia CCM kwa pale ambapo wana wasiwasi wa ushindi ,hivyo huwaengua wapinzani kwa kutumia pingamizi, mtindo uliotumika safari hii ni kuihakikishia CCM inapata ushindi wa chee mapema ,usitegemee kuwa mgombea wa CCM ataondolewa kwa kutumia pingamizi ,hata pingamizi hilo liwe na uwazi kiasi gani,si tumeona wameweza kuwalinda mafisadi watashindwa kwa wagombea ?? Ila wapinzani hata kama pingamizi halina kichwa wala miguu litatumika kikamilifu ili kumuondoa au kuwaondoa wapinzani ,NEC (Tume ya uchaguzi) inatumika kuinyanyua ccm. Ni uhuni tu .
Kumbe na wewe wakati mwingine unazungumza point zenye mantiki siyo enhh! Au Kafu pia imeguswa nini?
 
Back
Top Bottom