Kuna kitu kimoja kimenifurahisha sana kwenye kampeni za uchaguzi wa congress wa marekani mwaka huu. Kuna mgombea mmoja wa senate toka jimbo la Nevada anaitwa Sharon Angle. Mrs Angle bana alikuwa na tabia ya kuchemsha kiaina akikutana na vyombo vya habari. Viongozi na waandamizi wa chama cha Republican wakamshauri asiongee na vyombo vya habari (ili kuficha aibu).
Jamaa wa media ya NV wakaanza kumshikia bango ili aongee na media. Kuna wakati hadi alikimbia mbio kuelekea kwenye gari yake na waandishi wa habari walichofanya ni kuonyesha hiyo story live kwenye news zao. Presha nyingine ilitoka kwa liberal groups ambazo zilianza kurusha matangazo kwenye media kumshinikiza Mrs Angle aongee na media ya NV.
Presha imekuwa kubwa hadi Mrs Angle ameakubali kuongea na media...... ili kukwepa aibu.
Utagundua kuwa Kikwete amekataa kukutana na wapinzani wake kwenye mjadala. Jamaa anajificha kwenye mgongo wa Kinana kila inapokuja issue nzito inayomhusu.
Kwa vile media ya Tanzania iko kwa upande wa ccm (kwa asilimia kubwa), sitegemei kama watu wa media Tanzania watamshinikiza Kikwete ashiriki kwenye mdahalo. Ningewashauri CHADEMA watengeneze matangazo (hata flyers) za kuuliza kwa nini Kikwete hataki kushiriki kwenye mdahalo ili kuelezea sera na mipango yake!
Sidhani kama hili nalo litakuwa tusi (kwa tafsiri ya Mhando na Kinana)
Jamaa wa media ya NV wakaanza kumshikia bango ili aongee na media. Kuna wakati hadi alikimbia mbio kuelekea kwenye gari yake na waandishi wa habari walichofanya ni kuonyesha hiyo story live kwenye news zao. Presha nyingine ilitoka kwa liberal groups ambazo zilianza kurusha matangazo kwenye media kumshinikiza Mrs Angle aongee na media ya NV.
Presha imekuwa kubwa hadi Mrs Angle ameakubali kuongea na media...... ili kukwepa aibu.
Utagundua kuwa Kikwete amekataa kukutana na wapinzani wake kwenye mjadala. Jamaa anajificha kwenye mgongo wa Kinana kila inapokuja issue nzito inayomhusu.
Kwa vile media ya Tanzania iko kwa upande wa ccm (kwa asilimia kubwa), sitegemei kama watu wa media Tanzania watamshinikiza Kikwete ashiriki kwenye mdahalo. Ningewashauri CHADEMA watengeneze matangazo (hata flyers) za kuuliza kwa nini Kikwete hataki kushiriki kwenye mdahalo ili kuelezea sera na mipango yake!
Sidhani kama hili nalo litakuwa tusi (kwa tafsiri ya Mhando na Kinana)