hata likitupwa lazima atoe sababu za kufanya hivyo, ndicho tunachosubiri.Nadhani unataka update ya sababu ya pingamizi kutupwa kwa sababu unajua fika kuwa hilo pingamizi litatupwa; kama sio limeshatupwa. Do you still live with that wishful thought kwamba mgombea urais kupitia CCM ata....
hata likitupwa lazima atoe sababu za kufanya hivyo, ndicho tunachosubiri.
Saa nane mchana tayari, jamaa kala kona nini?
Ni akili ndogo sana ya kufikiria,unaweza kutoa hukumu ya kifo kwa baba yako?hata kama ni mimi siwezi kumhukumu JK kwa njia hiyo,nitasukuma hili shauri kwa wengine kama mahakamani au bungeni mwaka ujao,au nisingizie mapungufu ya sheria yenyewe,ili mradi ipite mbali na mimi,hiki ni kitanzi cha Hon Tendwa na inabidi atii aliyemweka hapo.
Bado tu? Watuambie fedha za kulipa wafanyakazi zilipitishwa na kikao kipi cha Bunge, hilo tu!