AmaniKatoshi
Senior Member
- Mar 31, 2009
- 158
- 14
Wajameni, habari za leo tena. Kuna tetesi kuwa yule mgombea wa chadema aliyeenguliwa Karagwe NEC imemrudishia hadhi ya kugombea. Kama ni kweli tujiulize "wasimamizi wa uchaguzi majimboni ni wala rushwa au ni washabiki au ni waamuzi wa CCM? Mbona maamuzi yao yanatenguliwa?