Elimu Duni au...?

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Wapinzani wamekuwa wakilalamika kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana mchini unatokana na elimu duni.Je ni kweli tatizo ni elimu duni,ongezeko la watu au uchache wa ajira tatizo ambalo ni la kiulimwengu???
 
Wapinzani wamekuwa wakilalamika kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana mchini unatokana na elimu duni.Je ni kweli tatizo ni elimu duni,ongezeko la watu au uchache wa ajira tatizo ambalo ni la kiulimwengu???

Ni sera mbovu za CCM. Hili aliliongelea Dr Slaa pale jangwani, ambapo alishangaa kwamba serikali ya JK eti imetoa ajira za watu milioni 1.3 katika miaka yake mitano! Dr Slaa alisema kuna vijana wana degree za chuo kikuu wanatembea nazo mfukoni hawana kazi, jee ni ajira gani hizo JK anajigamba nazo? Umachinga? Kwani nchi hii imekuwa condemned kuwa a nation of machingas? Yaani serikali haina mkakati mwingine wa kutoa ajira? alishangaa Dr Slaa.
 
Ni sera mbovu za CCM. Hili aliliongelea Dr Slaa pale jangwani, ambapo alishangaa kwamba serikali ya JK eti imetoa ajira za watu milioni 1.3 katika miaka yake mitano! Dr Slaa alisema kuna vijana wana degree za chuo kikuu wanatembea nazo mfukoni hawana kazi, jee ni ajira gani hizo JK anajigamba nazo? Umachinga? Kwani nchi hii imekuwa condemned kuwa a nation of machingas? Yaani serikali haina mkakati mwingine wa kutoa ajira? alishangaa Dr Slaa.

Kha!!Mbona anachanganya???Ilani yake kasema ni elimu duni!!!
 
Ni sera mbovu za CCM. Hili aliliongelea Dr Slaa pale jangwani, ambapo alishangaa kwamba serikali ya JK eti imetoa ajira za watu milioni 1.3 katika miaka yake mitano! Dr Slaa alisema kuna vijana wana degree za chuo kikuu wanatembea nazo mfukoni hawana kazi, jee ni ajira gani hizo JK anajigamba nazo? Umachinga? Kwani nchi hii imekuwa condemned kuwa a nation of machingas? Yaani serikali haina mkakati mwingine wa kutoa ajira? alishangaa Dr Slaa.

pamoja system ya wizara elimu tunayopata haituandai kujiajili
 
Doh!Nadhani jamaa alisema ni elimu duni.Au kuna speech mbili tofauti za kwake za Jangwani??
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom