TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Wapinzani wamekuwa wakilalamika kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana mchini unatokana na elimu duni.Je ni kweli tatizo ni elimu duni,ongezeko la watu au uchache wa ajira tatizo ambalo ni la kiulimwengu???