Elections 2010 Ccm ushindi kwenda mbele

zeeth

Member
Aug 26, 2010
8
0
chama cha mapinduzi ni chama amabacho kimejipanga vizuri kuweza kuhakikisha kinapata ushindi wa kishindo, kwani ndio chama chenye Sura nzuri ukilinganisha na cha ma kingine chochote kinachoshiriki uchaguzi wa mwaka huu 2010.

Sera za chama cha mapinduzi zimejikita vizuri katika kuhakikisha zinamkomboa mtazania wa aina yoyote katika kila mkoa.

Elimu - sera ya elimu ya chama cha mapinduzi imeonyesha kuwa kweli inalengo la kumkomboa mtazania kutoka katika tatizo la kutojua kusoma na wala kuandika wanaosema elimu bure hawaitakii mema nchi yetu ya tanzania, kwani hata nchi tajiri za Mafuta kama U A E - KUWEITI, JORDAN, IRAN, ete, Wananchi wao Wanachangia swala la Elimu, miaka ya 1970 Mpaka 1980 shule za kata zilikuwa zimeanzishwa zimeanzishwa katika nchi za BRAZIL , CUBA, SDNGAPORE, Walichofanya wenzetu ni kuziboresha tu baada ya kuwa wamezijenga katika kila kata, ambacho ndio leo Serikali ya C C M IMEFANYA ndio maana kwa kufanya Hivyo leo hii cuba . ndio maana wana wataalam wakutosha katika sector Karibia zote ni imani isiyopingika katika miaka mitano mpaka kumi ijayo shule zetu za awali mpaka vyuo vikuuvitakuwa vimepiga hatua itakayoleta tija katika nchi yetu.


Dira ya ccm pia inaelekeza serikali yake iweke mkazo katika Swala la Afya, leo zahanati KILA KIJIJI , Mpaka tarafa e t e , serikali imesha anza kupunguza Swala la watanzania kwenda kutibiwa nje ya nchi kwa kuanzisha kitengo cha AFYA,Cha matibabu ya Moyo pale muhimbili Bugando Mwanza , na Hospital ya Rufaa mbeya na Tatizo la Figo pia naro mkakati wake na kwa upande wa swala la saratani ndio ndio Maana nasema Ushindi ni kwenda mbele kwa C C M.

- SERA pia ya miundo mbinu ya barabara inaimarishwa , barabara za Rami , Madaraja sehemu mbali mbali yameanaza kujengwa , nasema tu kwamba c c m ndiyo yenye sera Madhubuti ukirnganisha na vyama vingine.

NITAENDELEA KUELEZA KWANINI C C M USHINDI KWENDA MBELE KATIKA AWAMU YA PILI.
 
Unaweza usitume makala ya pili. Tumeshaamua mwaka huu tunampa kura nani hata tusikie kamnyanganya Nge mke wake.
 
image_thumb41.png


Hii ni kwa augustee mwingine - zeeth
 
Zeeth umekuzwa kwa hela ya ufisadi, maana naona uko kigiza zaidi.
 
chama cha mapinduzi ni chama amabacho kimejipanga vizuri kuweza kuhakikisha kinapata ushindi wa kishindo, kwani ndio chama chenye Sura nzuri ukilinganisha na cha ma kingine chochote kinachoshiriki uchaguzi wa mwaka huu 2010.

Sera za chama cha mapinduzi zimejikita vizuri katika kuhakikisha zinamkomboa mtazania wa aina yoyote katika kila mkoa.

Elimu - sera ya elimu ya chama cha mapinduzi imeonyesha kuwa kweli inalengo la kumkomboa mtazania kutoka katika tatizo la kutojua kusoma na wala kuandika wanaosema elimu bure hawaitakii mema nchi yetu ya tanzania, kwani hata nchi tajiri za Mafuta kama U A E - KUWEITI, JORDAN, IRAN, ete, Wananchi wao Wanachangia swala la Elimu, miaka ya 1970 Mpaka 1980 shule za kata zilikuwa zimeanzishwa zimeanzishwa katika nchi za BRAZIL , CUBA, SDNGAPORE, Walichofanya wenzetu ni kuziboresha tu baada ya kuwa wamezijenga katika kila kata, ambacho ndio leo Serikali ya C C M IMEFANYA ndio maana kwa kufanya Hivyo leo hii cuba . ndio maana wana wataalam wakutosha katika sector Karibia zote ni imani isiyopingika katika miaka mitano mpaka kumi ijayo shule zetu za awali mpaka vyuo vikuuvitakuwa vimepiga hatua itakayoleta tija katika nchi yetu.


Dira ya ccm pia inaelekeza serikali yake iweke mkazo katika Swala la Afya, leo zahanati KILA KIJIJI , Mpaka tarafa e t e , serikali imesha anza kupunguza Swala la watanzania kwenda kutibiwa nje ya nchi kwa kuanzisha kitengo cha AFYA,Cha matibabu ya Moyo pale muhimbili Bugando Mwanza , na Hospital ya Rufaa mbeya na Tatizo la Figo pia naro mkakati wake na kwa upande wa swala la saratani ndio ndio Maana nasema Ushindi ni kwenda mbele kwa C C M.

- SERA pia ya miundo mbinu ya barabara inaimarishwa , barabara za Rami , Madaraja sehemu mbali mbali yameanaza kujengwa , nasema tu kwamba c c m ndiyo yenye sera Madhubuti ukirnganisha na vyama vingine.

NITAENDELEA KUELEZA KWANINI C C M USHINDI KWENDA MBELE KATIKA AWAMU YA PILI.

Asante kwa kuonesha upeo wako katika kufikiri na kupambanua mambo.
Ningependa kukusaidia kwa faida yako na watoto wako, wajukuu zako na vizazi vyako vijavyo kwa kukueleza yafuatayo:
Tanzania haipaswi kuitwa nchi masikini katika dunia ya leo, lakini inaitwa masikini na sababu kubwa ni CCM. Mapato ya Taifa yanaliwa na watu wachache sana (familia 11 tu ndani ya Tanzania) ambao wamewekeza nje ya nchi.
CCM haiwajali wananchi wake hata chembe bali CCM ni mkusanyiko wa kundi la mafisadi, wezi na waporaji. Na ndiyo sababu kubwa mafisadi wanalindwa na kupendelewa na CCM. Ni nani aliyeshikwa na kufungwa katika kesi ya EPA, RICHMOND, DEEP GREEN, MEREMETA, KAGODA?. Uchafu wote huo umefanywa na CCM na bado unalindwa na serikali ya CCM.
Kwa akili yako finyu unadanganywa kama mtoto mdogo wa miaka 4 eti CCM wamejenga shule na zahanati na barabara, shule zilizopo watoto wanakaa chini kwenye vumbi, zahanati zilizopo hakuna dawa na wazazi wanalala chini, barabara hazipitiki. Nashindwa kukuelewa wewe ni mtanzania wa wapi na una ubongo wa namna gani.
Mwaka huu CCM lazima ipigwe chini tena kwa staili ya kifo cha mende. Dharau zimewajaa CCM, mnafikiri mmepewa hati miliki na mungu ya kutawala Tanzania milele huku mkiendeleza madhambi yenu. Tanzania inanuka mabaya na machafu yote, ni lazima tuibadilishe na tutaweza kufanikiwa kwa kuindoa CCM madarakani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom